Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,514
- 4,228
Na ni ngumu kuliko tungsten na diamondNchi ngumu sana hii!
Hilo si lakuuliza,,likiisha Hilo na reli nazo tunaenda kabidhi Kwa kina Ankoli Ahamedi Suluhu Hasani!!na sasa hivi wanakwenda kuuza/ kugawa bure Air Tanzania yetu pamoja na ndege zetu tulizonunua kwa jasho letu, wameshaandaa mazingira ya hilo kutokea, kwa kifupi wanapora mali zetu …
Hili onyesho lilikuwa chini ya dakika 3 ila huwenda likatugarimu miaka mia 3 kulilipia!