Picha: Hii nchi imepitia mambo magumu mno

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,514
4,228
Screenshot_20240328-115517_Gallery.jpg
 
Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kwa mama, mama anaupiga mwingi, tumpongeze sana mama hadi hapa tulipofikia.
 
na sasa hivi wanakwenda kuuza/ kugawa bure Air Tanzania yetu pamoja na ndege zetu tulizonunua kwa jasho letu, wameshaandaa mazingira ya hilo kutokea, kwa kifupi wanapora mali zetu …
 
na sasa hivi wanakwenda kuuza/ kugawa bure Air Tanzania yetu pamoja na ndege zetu tulizonunua kwa jasho letu, wameshaandaa mazingira ya hilo kutokea, kwa kifupi wanapora mali zetu …
Hilo si lakuuliza,,likiisha Hilo na reli nazo tunaenda kabidhi Kwa kina Ankoli Ahamedi Suluhu Hasani!!
 
Maafisa wa uvuvi wakipima samaki
 

Attachments

  • 46c138cae2-samaki-bungeni.jpg
    46c138cae2-samaki-bungeni.jpg
    276.4 KB · Views: 2

Similar Discussions

Back
Top Bottom