kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,514
- 2,730
Mungu ataamua kwa haki juu ya Jambo hili.
Kilio cha familia za hawa wanaoteseka hakitapita bure.
Binadamu ni mavumbi tu.Watu wa Mungu wako kwenye maombi mazito na tazama ushindi uu karibu sana.
amina mkuu