Vichwa nazi, wamemuua ambaye katika matukio kama hayo wanatakiwa walindwe. Sasa watawaambiaje mabwana zao huko wanakoenda kuomba kila siku. Watageukwa muda si mrefu.akili hikaa kichwani kama kichwa kina ubongo. Kama hakina, basi akili hutafuta sehemu ya kujificha. Sijui akili yako wewe imekimbilia wapi baada ya kugundua kichwani hakuna ubongo.