(Picha)Harusi ya Dr. W. Slaa (21.7.2012)


Mkuu labda nikufungue macho kuwa KANISA katoliki linasheria zake tofauti kabisa na unavyodhani kuwa biblia inavyosema!

Zingatia Roma walihuisha biblia iendane na matakwa yao!

Hayo maelezo niliyokupa ndivyo ROMA inavyotambua na kuenenda mkuu!

Zaidi ya hapo unapingana na UKWELI wa ROMA
 
Last edited by a moderator:

Hoja yako hata haieleweki. Kaiba mke wa mtu? Dr. Slaa ni sehemu ya jamii, ni kawaida ya watu wote kufall out kwenye mahusiano, lilompata Dr ni kawaida ya binadamu labda tu wale wanafiki. Yule mwanamke rose kamili ni mkorofi hata ungekuwa wewe (na - assume wewe ni mwanamme) huwezi kuishi na mwanamke mwenye tabia ya namna hiyo. Kama kweli anampenda Slaa na kwamba ndoa yao bado ni halali anamdai hayo mamilioni ya nini. Akilipwa hizo pesa halafu inakuwaje? Alishawahi kupeleka malalamiko yake kwenye mabalaza ya usuluhishi? Maana ndiko wote hupita kutaka kurudisha mahusiano. Hii ni mipango ya kisiasa tu, na Dr. Slaa bado watanzania tutampa kura zetu (kama akiteuliwa na chama chake). Tunamtaka huyo huyo binadamu mwenzetu anayeweza kuchukuliana na sisi. Wewe tafuta malaika waje wakutawale. Wao ndo hawana dhambi, lakini mwanadamu? wapi na wapi.
 

Asante Yericko Nyerere, Na hapa unasemaje?

[h=4]Romans 7:2,3[/h]A married woman is bound by law to her husband as long as he lives. This means that if she is married to another man while her first husband is alive, she is guilty of adultery. She is free to remarry without guilt only if her husband is dead
 
Kwa waseja: But if they cannot control themselves, they should marry, for it is better to marry than to burn with passion
 
Kuna ndoa zinaitwa batili. Unazijua?
 
What if a woman is married to a gay, what is the church going to do. Please, tell me according to the church law.
 
Ndoa ya mzinifu na dhambi ya UZINZI bado itaendelea kumtafuna

eee wewe si ndo monitress wa Mungu..una mabawa kabisa.PERFECT ANGEL!! Huna dhambi wala..
Af hiyo Mch ni Mchumba au Mchungaji,coz it doesnt suit ur 'perfect words' towards fellow human being!
Usimnyooshee kidole mwenzako,vingine vyakutizama wewe mkuu Mch!!!
Na elewa,mawazo ya Mungu si mawazo yako.
Watch out dude!
 

Yeriko Naona Kama Unapotosha Mzee au Kile Unachoelezea Hukifahamu kwa Undani
 
Nami nawatakia maisha mema yenye furaha na mapenzi tele.....uzuri wake wote wanauzoefu wa maisha ya ndoa.....Mungu awabariki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…