PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

kb52

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
336
Reaction score
110
Treni ya Umeme ikipita Daraja la Ruvu ikitoka MORO kwenda Dar,chini ni Moro road,kushoto ni fly over, 5 yrs to come : Tizama picha hapa chini ! CCM CHAMA DUME!

73c126bc0bad43892a8fa96cfeb68196.jpg
 
Huyu mzee anaishi kwa matumaini, ccm haitakaa ije ibadilike
 
unaweza kuwa kichaa na wewe unajiona mzima ccm matatizo


swissme
CCM chama kubwa ati! Ngoja jamaa atoke mapumziko utaona ujenzi soon unaanza. Kwa niaba ya watu wa China!
 
Treni ya Umeme ikipita Daraja la Ruvu ikitoka MORO kwenda Dar,chini ni Moro road,kushoto ni fly over, 5 yrs to come : Tizama picha hapa chini ! CCM CHAMA DUME!

73c126bc0bad43892a8fa96cfeb68196.jpg
Aisee! Mbona patakuwa kama porini tena!
 
Biblia inasema "aaminiye ndoto ni mjinga"
 
Back
Top Bottom