Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wandugu, huyu jamaa sijui kapatwa na nini. Ni uzee au ni kuchoka tu kifedha, kisiasa na kijamii ?
Amevaa kombati ya CHADEMA imemvaa sana. Nguo zimempwaya sana.
Jamaa huwa anajishughulisha na nini?
Sura na ngozi vimekunjamana sana.
Jamaa hoi sana.
Kabanwa kila idara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amevaa kombati ya CHADEMA imemvaa sana. Nguo zimempwaya sana.
Jamaa huwa anajishughulisha na nini?
Sura na ngozi vimekunjamana sana.
Jamaa hoi sana.
Kabanwa kila idara.
Sent using Jamii Forums mobile app