Picha: Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM

Picha: Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, leo Jumatatu tarehe 26, Mei 2025.

1748263619164.png
1748263635574.png
1748263651878.png
1748263676643.png
 
hakuna mtu wa kumwambia ukweli. Yataangalia midomo yake inacheza vipi, yanafuatia humo humo!
 
KIKAO CHA KUJADILI WAPI PA KUWAONGEZA WASIO JULIKANA
 
Hawa wote kijana ni mmoja tu. Ndio maana CCM inatakiwa ibadilike.
 
Back
Top Bottom