.....na samaki waliopo baharini.
na lowasa atakuwa rais wa wa magaidi na walisha watu sumu,
.....na samaki waliopo baharini.
PROPAGANDA @ work. ..na lowasa atakuwa rais wa wa magaidi na walisha watu sumu,
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MWAKA 1985/1986View attachment 273077
Kutoka Kushoto: Dkt.Abel Minani, Dkt.John P.J Magufuli na Dkt.John Kyaruzi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam muhula wa mwaka 1985/1986.
Tangu atambue kuwa Funguo zipo Ukawa naona kaishiwa nguvu kabisa.
PROPAGANDA @ work. ..
Kura ni kwa Lowassa tu, hutaki hama nchi.
Sema rais wako na mkeo,JMT tukutane October na majibu unayo.
Wameshakaa tayari, bado kulala tuMwaka huu lazima tuwakalishe hawa magamba.
Ni zamu ya Mzee Ngoyai...take it or leave it.
Wameshakaa tayari, bado kulala tu
Lol! Ndio najifunza kupitia kwako kaka GENTAMYCINE maana kwenye hiyo sekta huna mpinzani!Kumbe Na Wewe Huwa Una Majibu Makali Kama Haya Dada? Tisha Sana nifah.
Rais wa Tanzania yote ni Lowassa tu.
Hutaki acha tu
atapasikia kwenye tv ikulu sio pango la mashetani
Na tugawane tu maana hamna namna.Sehemu Zote Tunaenda Sawa Ila Kuhusu Suala La Lowassa Nadhani Tunagawana Njia Za ITIKADI.
unakichaa au?
mkuu sio fisadi nakutajia na mengine
1,kuwapa sumu watu akishilikiana na apson
2,kuweka vipandikizi kwenye vyombo vya dora na kuvifanya kuonekana kama vyombo visivyokuwa na weredi wowote na akijua ni hatari kwa mstakabali wa taifa ,
hayu tu yanamfanya kukosa sifa,