Kozi gani walikuwa?
unakichaa au?
Sidhami kama ni mwaka huo, ukisoma CV yake alisoma udsm kwenye 1990
Magufuli ni sawa na msichana wa kazi mwenye bidii. Anafaa kutumwa tumwa tu. lakini urais anaonewa tu!
Hapo hakujua atakuja kua rais wa JMT
walimu hao,huoni hata swaga zao.
Nifah tangu uolewe na mafisadi unahuzunisha sanaSema rais wako na mkeo,JMT tukutane October na majibu unayo.
Rais wa jf labda!
Sema rais wako na mkeo,JMT tukutane October na majibu unayo.
Kwa hiyo ulitaka fisadi Lowasa ndo awe Rais?Magufuli ni sawa na msichana wa kazi mwenye bidii. Anafaa kutumwa tumwa tu. lakini urais anaonewa tu!
Nani kamchagua kuwa rais
Hahahaaaaa, leo ndio wamekua mafisadi?Nifah tangu uolewe na mafisadi unahuzunisha sana
Labda awe rais wa barabara.rais wetu magufuli tutalipa kwa kile ulichotufanyia kila kona ya nchi hii,
Kwa hiyo ulitaka fisadi Lowasa ndo awe Rais?
.....na samaki waliopo baharini.Labda awe rais wa barabara.
Magufuli atakuwa rais wa mwanza na sio tz