GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,008
- 126,403
Na tugawane tu maana hamna namna.
Ila uzuri unamkubali Lowassa kwa nyota yake hadi unafikia hatua unatamani kuwa kama yeye....
Tofauti na mimi ambaye simkubali Magufuli kwa lolote.
Bado Hujalala Tu Dada? Timiza Majukumu Ya Ndoa Yako Sasa Dada Kwani Sitaki Baadae Uje Uniletee Malalamiko Kuwa Shemeji Yangu AMEKUACHA Kama Siyo AMEKUTEMA.