CUF Chopa imelipiwa na CCM na fedha hizo alilipa January Makamba , hizi ni kati ya zile mbili ambazo CCM walisema kuwa wanaleta na hata hati za kuomba vibali za mara ya kwanza zilionyesha hii ikiwa ni ya CCM na hakuna ubishi , kuna mahojiano yamefanyika baina ya rubani mmojawapo na ukweli utawekwa hadharani .