Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Mlikuwa hamna jinsi kuwaiga wanaume si uliona wananchi walivyotimua kwenye mikutano yenu baada yakuona chopa ya chadema, mlipogutuka tu wananchi walikuwa wameshazoea kuona chopa hata zilipokuja za ccm na cuf hawakuwa na jipya tena