Picha:Chopa ya CUF Igunga



Asante...
..... Tumebaki kujivunia chopa za Kenya.
 
Siyo wa CCM?
Mzee wa shamba kila siku unasisitiza malengo mahususi ya hivi vyama vya upinzani yajullikane watu huwa wanakuona unapoteza muda. Igunga CHADEMA wanaomba CUF ishindwe na CUF nao wanaomba CHADEMA washindwe. Maana yake vyama hivi viwli vikishindwa vitakuwa nafuu kwao kuliko kimojawapo kikishinda. Bora CCM ishinde ili vyama hivi viendelee kuwepo kimojawapo kikishinda lazima kingine kife!!

Haya nayo ni maajabu ya nane ya Dunia!!
 
Wengine walikuwa wanaamini CDM ndio pekee wenye uwezo wakutumia Helcopter. Leo CAF kutumia helcopter mapovu yanawajaa oh watu wanateseka oh watu wanazungumzia chopa, acheni wivu wa sifa nyie aagh.
 
Tanzania ni nchi tajiri sana ..hapa mkiniambia kuwa maisha ni magumu sitawaelewa kabisa..

kuna tofauti ya utajiri wa nchi na utajiri wa wenye nchi. Rasilimali tunazo za kufanya kila tulitakalo, but maisha bado yako chini
 
kwa taarifa yako mikutano na matukio ya CUF CDM huwa hawasogei viongozi wao walikwisha wazuai isipokuwa mashushu wao wawili ama watatu.eti wanaogopa CUF inawateka sana.HIYO NDIO CUF HALISI.Subiri tarehe 2 ushuhudie mweleka wa CDM igunga.
Kipofu kaona mwezi. Ngoja tusubiri tambo za Mtatiro. Lakini mwisho wa yote CCM na CUF mtaishia kugawana kura.
 

asanteh sana mkuu..
 
CUF Chopa imelipiwa na CCM na fedha hizo alilipa January Makamba , hizi ni kati ya zile mbili ambazo CCM walisema kuwa wanaleta na hata hati za kuomba vibali za mara ya kwanza zilionyesha hii ikiwa ni ya CCM na hakuna ubishi , kuna mahojiano yamefanyika baina ya rubani mmojawapo na ukweli utawekwa hadharani .
 
CUF imepewa kazi ya kuipotezea lengo CDM. Kila CDM inapotaka kulenga bunduki zake kwa CCM, CUF inajitokeza na kuingilia kati ili CDM ipoteze shabaha. CUF wanajua kuwa wamo kwenye kampeni kwa madhumuni ya kuitibulia CDM. Hivi utamu wa muafaka unawafikia CUF wote au Maalim Seif na wenzake wanakula kwa niaba yao? Mbona Lipumba hasikiki kwenye kampeni za CUF, pamoja na kuwa mtu wa Tabora, lakini anayesikika ni Mtatiro. Prof hana mvuto tena nini?
 
Wengine walikuwa wanaamini CDM ndio pekee wenye uwezo wakutumia Helcopter. Leo CAF kutumia helcopter mapovu yanawajaa oh watu wanateseka oh watu wanazungumzia chopa, acheni wivu wa sifa nyie aagh.
Hapa na mambo ya kabumbu wapi na wapi.
 

Hapa Magwanda yanajiliwaza na kujifariji baada ya kuona hali mbaya Igunga
 
CUF hawajui hata wanayetakiwa kupambana naye siku wakijua uchaguzi utakuwa umekwisha.

Kitu gani huelewi mzee wa kusinzia kwamba adui wa CUF ni adui wa CCM? Umesahau muafaka kule zenji ukawafanya waanze kuzitafuna pamoja rasilimali za waTZ?

Sikutegemea kitu tofauti na ninachokiona kwani amri imeshatoka kwa Maalim seif kwamba kama CUF mwelekeo mbaya basi wawapigie CCM kampeni kwa njia ya kuwasakama CDM.
 
Umejisemea kuwa mpinzani wa CUF ni CDM sio?? kwa hiyo CCM sio tishio, au CUF = CCM, kwa hiyo yeyote atakayeshinda hapo atakuwa amembwaga CDM.

siasa uchwara ndio hizi sasa.
Usijali ni mke na mme walikuwa wanateteana tu si unajua mke hamtupi mme kwenye matatizo.
 
Siyo wa CCM?

Huhitaji kutumia akili nyingi.

Mwandishi kataarifu juu ya Helkopta ya CUF, akaambiwa hao waliopo hapo ni Chadema. Ndio maana akawajibu msubiri mweleka wa Chadema! Mbona rahisi kueleweka hilo. Kama angeambiwa hao ni CCM halafu akajibu subiri mweleka wa Chadema mantiki yenu ingeeleweka!
 
what is that hell, hivi chopper ni moja ya sera kwenye kampeni???miafrika ndivyo ilivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…