Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Wewe umecomment leo kwenye hii thread na bado unauliza full story! are u realy serious? ina maana bado huna taarifa ya kilichojili Arusha!! any way boftya hapo juu kwenye fikra pevu ili upate full story.mleta mada, twasubiri full story kama ulivyoahidi. Chadema Mungu awabariki waendelee kupambana kutetea haki za wengi.
kila siku nikiwasikia hawa watwana wetu, hujifariji kwa kuwaponda chadema eti miaka mitano c mingi. what will happen after five yrs wananchi bado wakaunga mkono VYAMA MBADALA HASA CHADEMA?
MUNGU tuoongoze vijana, tuwe na busara za kuwashawishi hata wazee waliokulia ndani ya CCM, wabadili mwelekeo, wapime tangu waipe ccm kutawala wamefanya nini kuleta maendeleo ya jamii?
ccm wazushi wamechoka, tuwapumzishe.