Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
shimo limetema
Hoja hupingwa kwa hoja, haya weka za kwako ulizopiga wewe! Hata ITV nao wameunga?Hahahahaha Picha remix hii sio yenyewe nilikuwepo uwanjani wadau ziangalieni picha hizi ni za kuunga! Kweli uongo ni aina ya unafiki! Angalieni picha hizi vizuri zimechakachuliwa!
Propaganda za kikomunisti sasa hivi hazifanyi kazi tena watu unaoweza kuwafuma ni wale wakutoka mkoa wa Singida lakini sio wengineHahahahaha Picha remix hii sio yenyewe nilikuwepo uwanjani wadau ziangalieni picha hizi ni za kuunga! Kweli uongo ni aina ya unafiki! Angalieni picha hizi vizuri zimechakachuliwa!
Hahahahaha Picha remix hii sio yenyewe nilikuwepo uwanjani wadau ziangalieni picha hizi ni za kuunga! Kweli uongo ni aina ya unafiki! Angalieni picha hizi vizuri zimechakachuliwa!
<br />siku 30 za tahadhari.CCM mjiaandae maana CHADEMA hatubahatishi katika nia zetu .
ameshasema mkuukesho utamsikia tendwa akisema kuna chama kimeanza kampeni kabla ya mwaka 2015
kijana acha kuweweseka ndiyo kazi inaanza ukiniuzi na weka video ya mwanzo mwisho..chadema habari nyingine mwambie kikwete aje afanye mkutano hapa arusha halafu asibebe watu na malori kutoka monduli, meru nk na asilete fiesta tuone kama a robo ya mkutano huu atafikisha na wasifunge ofsi zetu..Hahahahaha Picha remix hii sio yenyewe nilikuwepo uwanjani wadau ziangalieni picha hizi ni za kuunga! Kweli uongo ni aina ya unafiki! Angalieni picha hizi vizuri zimechakachuliwa!
kijana acha kuweweseka ndiyo kazi inaanza ukiniuzi na weka video ya mwanzo mwisho..chadema habari nyingine mwambie kikwete aje afanye mkutano hapa arusha halafu asibebe watu na malori kutoka monduli, meru nk na asilete fiesta tuone kama a robo ya mkutano huu atafikisha na wasifunge ofsi zetu..
mkuu majibu ya nini kitatokea yalitolewa palepale..tutaandamana kwenda manispaa na safari hii tutawaomba mama ntilie nao wawepo sehemu hiyo maana hatutaru majumbani kwetu mpaka kimeeleweka..yeye andelee na uongo wake bunge siku ndiyo hivyo zina hesabika..Mimi jamaa wanafanya makusudi yaani hii ishu ni kama mtego! Hizo cku zikiisha kisipoeleweka itakuwaje?
Aliongelea hii ishua hapa member mmoja nadhani alikuwa Kileo kuwa dar ni yamasharoharo na hawawezi kuamkaHivi Chadema mna nini? Mbona Dar hamji? Mmetunyima haki yetu ya kikatiba ya kuandamana kupinga chama na serikali kandamizi? Chonde chonde, njoo dar es salaam, tuikomboe nchi yetu, huku ndiyo kila kitu, Misri, Tunisia na Yemen wamekombolewa kutoka miji yao mikuu, ona Syria wanavyolipuliwa kwa kuandamana miji midogo, I humbly request chadema to see Dar kama kitovu cha ukombozi wa mtanzania,
Walishawahi kwenda sebuleni kwa Pinda kuongelea masuala ya Arusha(huku wakinywa vipapli).Tusubiri baada ya siku 30.Hizi picha zinatia sana hamasa,
Hasa ukizingatia walioujaza uwanja wengi ni wananchi wa kipato cha chini, hawana ajira na access ya mikopo, na wana kila matumaini na "makamanda".
Hii inanikumbusha miaka 10 iliyopita pale viwanja vya "Kibanda Maiti" wakati Maalim Seif alipokua anahutubia baada ya wana CUF zaidi ya 20
kupigwa risasi na kufa kule Pemba wiki chache baada ya uchaguzi wa mwaka 2000.
Sasa hivi Maalim kajikalia IKULU ya Zanzibar akiendeshwa na Mercedes Benz na walinzi kila upande, wa serikali ya chama kilekile alichokipinga kwa nguvu zote, na wananchi makabwela wakamuamini mpaka kuweka roho zao in the line of fire mwaka 2000. Ukiuliza kulikoni, unaambiwa kila kitabu na zama zake, hizi ni zama za SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA!
I hope and i really hope historia haitojirudia.
Tuombe uhai,...