rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Jana ulianzisha thread yako kuhusu chadema kupoteza mvuto kigoma,nilivyokublast leo umekimbilia mkutano wa A town.
Unaanzisha pumba unashindwa kuzitetea. We ni hovyo! Picha za mkutano unaziona? Zinaashiria nini? Unafkiri ni magamba wanaoenda kwenye vituo vya mafuta kupewa mafuta bure na kusomba watu kutoka kijijin?
Peoples power itakutesa sana. Wewe ni zao la nsanzu,kaburu nk
mkuu kumbe umeanza naye mbali,jamaa kachelewa sana