PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

Hakika CHADEMA ni chama cha ukombozi wa mtanzania,nguvu ya uma haikuwahi kushindwa,VIVA CHADEMA
 
Kamooooooooonni furaha ilioje kuona picha za wana ukombozi BIG up Chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! mpaka kileweke
 
chadema chadema chadema...hii nchi ni yetu wakuu..asanteni sana leo kudhihirishia umma kuwa mpo makini, imara, wala hamfagilii vijitabia vya magamba....
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh naona hizo siku 30 zinatupeleka Tahrir square. Viva tupo pamoja wana A town.
 
-kingine ni kwamba kwa mara ya kwana niliwaona wazungu means watalii nao wakija kuhudhuria mkutano huu. wanashangaa wanadai tangia wazariwe hawajawahi onaa na mkutano wenye watu wengi kama hao.

- kwa mara nyingine hadi wahindi walikuwepo.

- Jambo jingine ni kwamba Polisi ndo huwa wanaaribu amani kwani kwenye ule uwanja kuna Barabara inapita pembeni na magari yakikuwa yanapita bila wasiwasi kabisa.

- pale hata sisimizi sizani kama kajeruhiwa.
 
muda waukombozi u karibu....Arusha imeonyesha njia.. wameweza kuchambua upupu,pumba na mahindi..viva chadema
 
Asante sana kwa picha na taarifa mdau. Big up CHADEMA big up wafwasi wa chama cha ukweli. Inapendeza sana.
 
wakuu hii c haki kabisa.

Nimeweka hapa mambo yote yaliyozungumuzwa na makamanda pale uwanjani ili mfahamu lakini cha ajabu wakina mud wameondoa.

uhuru wa kupata habari uko wapi? nini kosa langu? au tuhamie chama cha mapinduzi forum?
C haki kabisa na potelea mbali hata kama nilipigwa bun ya maisha poa tu
 
Ushahidi mwingine kuwa itelinjesia ya polisi ni upuuzi mtupu' mbona hakuna vurugu zilizoripotiwa?! NCHI HII POLISI NDIO WANAVUNJA AMANI.'CHADEMA MBELE KWA MBELE'.
 
Nimo ndani ya basi natoka Moshi, nimekutana na maandamano makubwa, Lema akiwa juu ya gari akipunga V. Vijana wakiwamo wanafunzi wa Sekondari wanaimba na kushangilia na kugonga gonga basi letu, nilishtuka kidogo lkn nikabaini ni mov't ya CDM.

CDM wajitahidi sana zisitokee vurugu kwe misafara yao kwani UVCCM wanaweza kujichomeka na kuvunja magari ili kutuchezesha muziki wa watawala kuwa CDM ni chama cha vurugu.
 
Pia hawakukuvaa njano na kijaniwala hakuna malori na mabasi hii ajabu!
 
chadema hoyeeeeeeeeeeee....! GAMBA LA CCM sijui lilizikwa wapi..? kama vile mwili wa OSAMA..??

KAMA KWELI CCM WALIJUVUA GAMBA WATUONYESHE LIPO WAPI.??? AU WAMELIZIKA BAHARINI..??
 
Hongera viongozi na wananchi wa chadema sina cha kuongeza !picha tu imejieleza!
 
-kingine ni kwamba kwa mara ya kwana niliwaona wazungu means watalii nao wakija kuhudhuria mkutano huu. wanashangaa wanadai tangia wazariwe hawajawahi onaa na mkutano wenye watu wengi kama hao.

- kwa mara nyingine hadi wahindi walikuwepo.

- Jambo jingine ni kwamba Polisi ndo huwa wanaaribu amani kwani kwenye ule uwanja kuna Barabara inapita pembeni na magari yakikuwa yanapita bila wasiwasi kabisa.

- pale hata sisimizi sizani kama kajeruhiwa.

Komando vipi tena mbona yapo hapo juu tunaendelea kuyasoma?
 
Magamba mtamdanyanya nani na hoja zenu za kuwadanganya watz cdm nouma nape leta pumba zako javin uabike
 
Asante sana mkuu kwa taarifa mana nilikuwa na shauku sana ya kujua kilichotokea huko wacha tu magamba waendelee kupuuza ila kilio cha wengi Mungu huwa anasikia 1dei tu kitaeleweka hakuna kulala hadi kieleweke!
 
Back
Top Bottom