Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Watu wamekaa kwenye mahema utafikiri kuna hitma walivyo na huzuni
aaaaaaaaaaaaaaaaa wapi C.C.M chama kubwa bwana C.C.M DAIMAAAAAAAAAAAAAA:target:
Pamoja na ukweli wa mahudhurio hayo, lakini mpiga picha kwenye mkutano wa CCM hajaonyesha ukweli kwa kuchagua angle ambayo inaonyesha sehemu ndogo ya wahudhuriaji. Bora kuweka tu hali halisi kwani kuhudhuria mkutano si ishara ya kwamba wote ni wapiga kura, wengi ni mashabiki zaidi kuliko wapiga kura. CCM walio wengi katika mikutano yao ni wapiga kura wakati Chadema walio wengi ni mashabiki. Tuwe wa kweli. Hilo ndilo Chadema inatakiwa kufanyia kazi.
CCM bado hawajapata mpinzani CHAADEMA walitaka kuletaupinzani lakini wakajichanganya baada ya kuonyesha ukanda na udini
kama una picha inayotoa taswira unayoitaka wewe tuwekee nasi tuone. lakini kwa nini unajikakanganya hapo mwisho kwa kusema wapiga kura na mashabiki?Pamoja na ukweli wa mahudhurio hayo, lakini mpiga picha kwenye mkutano wa CCM hajaonyesha ukweli kwa kuchagua angle ambayo inaonyesha sehemu ndogo ya wahudhuriaji. Bora kuweka tu hali halisi kwani kuhudhuria mkutano si ishara ya kwamba wote ni wapiga kura, wengi ni mashabiki zaidi kuliko wapiga kura. CCM walio wengi katika mikutano yao ni wapiga kura wakati Chadema walio wengi ni mashabiki. Tuwe wa kweli. Hilo ndilo Chadema inatakiwa kufanyia kazi.
CCM bado hawajapata mpinzani CHAADEMA walitaka kuletaupinzani lakini wakajichanganya baada ya kuonyesha ukanda na udini
Mi nimelamba 30000 kutoka kwa diwani mmoja anaitwa karim nikusanye majanki nikawamwage D11,nikakusanya vichwa 10,nikapita navyo mbele yake kisha tukatawanyika,mpaka sasa nna chenjimkuu candid Scop tutajua kama ni wapigakura ama leo jioni kwa taarifa yako hata sura zilizoko hapo kwenye mkutano wa ccm ni ngeni watu wa daraja mbili wengi wamechoka..wanaishi kwenye nyumba ukiipiga teke inaweza dondoka..nitawashangaa wakichagua ccm..kuna thread nilianzisha jinsi wanavyo nyanyasika mishango isiyo nakicha wala miguu ukileta ubishi unakamatwa hakuna mdhaman mpaka mw/kiti atakavyopenda..
CCM bado hawajapata mpinzani CHAADEMA walitaka kuletaupinzani lakini wakajichanganya baada ya kuonyesha ukanda na udini
mkuu candid Scop tutajua kama ni wapigakura ama leo jioni kwa taarifa yako hata sura zilizoko hapo kwenye mkutano wa ccm ni ngeni watu wa daraja mbili wengi wamechoka..wanaishi kwenye nyumba ukiipiga teke inaweza dondoka..nitawashangaa wakichagua ccm..kuna thread nilianzisha jinsi wanavyo nyanyasika mishango isiyo nakicha wala miguu ukileta ubishi unakamatwa hakuna mdhaman mpaka mw/kiti atakavyopenda..
kama una picha inayotoa taswira unayoitaka wewe tuwekee nasi tuone. lakini kwa nini unajikakanganya hapo mwisho kwa kusema wapiga kura na mashabiki?
sio siri hali ya sisiem ni mbaya
Pamoja na ukweli wa mahudhurio hayo, lakini mpiga picha kwenye mkutano wa CCM hajaonyesha ukweli kwa kuchagua angle ambayo inaonyesha sehemu ndogo ya wahudhuriaji. Bora kuweka tu hali halisi kwani kuhudhuria mkutano si ishara ya kwamba wote ni wapiga kura, wengi ni mashabiki zaidi kuliko wapiga kura. CCM walio wengi katika mikutano yao ni wapiga kura wakati Chadema walio wengi ni mashabiki. Tuwe wa kweli. Hilo ndilo Chadema inatakiwa kufanyia kazi.
Nadhani mpiga picha katika mikutano ya CCM alikuwa anapiga picha kwa tahadhari akiogopa kipigo cha greenguard! usimlaumu sana si kosa lake Mkuu.
Mkutano wa kampeni za uchaguzi zimehitimishwa leo katika kata ya daraja mbili.
Kwa upande wa chadema mkutano ulihudhuriwa na viongozi Godbless Lema (kiboko ya magamba), Katibu wa mkoa Amani Golugwa, mwenyekiti wa wilaya Ephata Nanyaro, katibu wa wilaya Martin Sarungi na viongozi wengine waandamizi wa chama mkoa na wilaya ya Arusha.
Kwa upande wa ccm mkutano ulihudhuriwa na Stephen Wassira, mgeni rasmi Ole Sendeka, Marry Chatanda, mwenyekiti na katibu wa mkoa na wilaya ya Arusha.
Mkutano wa chadema watu walifurika sana, ambapo kwa ccm pamoja na kuwabeba watu kutoka maeneo mbalimbali kwa ujira wa elfu kumi kumi, watu walikuwa wachache sana, sana sana watu waliweza kuenea kwenye viti vilivyoandaliwa kwenye tents.
Picha: