Nimeongea na jamaa zangu wa Ibinzamata ananiambia kila kitu kimesimama! CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeee
Hii kauli yako inaashiria nini?WanaJF.
Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke
Atakosekanaje?? Hata mtoto si rizki hupeleka posaDada Regia vipi mzee wa mipasho Shibuda yupo???