WanaJF.
CHADEMA inaendelea na Maandamano Kanda ya Ziwa na leo tuko Mkoa wa Shinyanga.Maandamano ndio yameanza na watu ni wengi mno.Barabara zimefunga msafara unaenda kwa taabu sana.Karibu Pikipiki na Tax zote za Mjini hapa zipo kwenye maandamano kuelekea Uwanja wa Lubaga. Hakika mambo ni moto.
Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke
Kutoka kwenye Maandamano Shinyanga
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
IVI REGIA. UNAJUA THAMANI YA UTULIVU? CHADEMA MNACHOFANYA SI SAWA KWA MTANZANIA MWENYE NIA SAFI NA NCHI HII. MOTO MNAOUCHOCHEA UTAWAKA, ILA SIDHANI MKISHA UWASHA KAMA MTAWEZA KUUZIMA, WOTE MTAJUTA KWA NIA HIYO MNAYOTAKA KUTUMIA. SIKU ZOTE MUNGU ANAMULAANI MTU ANAYEAMSHA HISIA ZILIZOLALA. MSIWATUMIA WATANZANIA KAMA TOOL ITAWACOST
kikwete anajua kuwa nyuma yake hana watu. Hii inamfanya aweweseke daima.
Aksante REgia! lakini vipi kufungua matawi? Mungu awatie nguvu!
pipoooozzzzzzzzzzzzz!
IVI REGIA. UNAJUA THAMANI YA UTULIVU? CHADEMA MNACHOFANYA SI SAWA KWA MTANZANIA MWENYE NIA SAFI NA NCHI HII. MOTO MNAOUCHOCHEA UTAWAKA, ILA SIDHANI MKISHA UWASHA KAMA MTAWEZA KUUZIMA, WOTE MTAJUTA KWA NIA HIYO MNAYOTAKA KUTUMIA. SIKU ZOTE MUNGU ANAMULAANI MTU ANAYEAMSHA HISIA ZILIZOLALA. MSIWATUMIA WATANZANIA KAMA TOOL ITAWACOST