Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
uwiiiiiiii!!!!! Maskini sijui wanasomaje hawa watoto. Sasa mvua ikinyesha si hatari, ndio maana naibu katoa machozi maana inasikitisha mno.
...Pretty 'umeona' mvua, mimi naona janga la moto hususan kwa hayo makuti!
...Kilio cha Shauritanga bado kinasikika masikioni mwangu!...