mtumie hii picha aweke kwenye hiyo paper yakeKuna mtaalam mmoja psychologist alitembelea TZ, akawa anawasilisha matokeo ya utafiti kwa mizungu mienzake... moja ya majumuisho ya utafiti wake ilikuwa ni kwamba ukitaka uheshimiwe TZ jitahidi uwe 'as wide as possible'. Nilidhani anapalizia, lakini hapa naona kama akuna kaushahidi kinamna. Tamtumia hii link ..