Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
Mkuu,nilikuwa bize na mkutano wa mzalendo Zitto

Hahahaha hongera sana kwa kazi nzuri make naona Mkutano umefana ile mbaya... ila kwa mwendo huu naona Mzalendo atawakomba wafuasi wa vyama vyote... angalia usije ukapitiliza...
 
Yaani act bwana ...ukitaka kujua kama hao walikuja kupoteza mda kesho cdm waitishe mkutano hapo uonee kizazaaa....hao walikwenda kumsikiliza msaliti zito...jiulize baada ya zito kuondoka nini kilijiri na nini kitakacjojiri hio kitu iliwagharimu sana cdm mwaka 2010 ila kwa sasa mtandao wao umeenea kila kona...act mjiulize kuna kiongozi yeyote yule mwenye mvuto hata wa kuita watu 10 zaidi ya zito katibu wenu ndo mweupee kabisa mwenyekiti ndo boyaa kabisa hao viongozi wa wilaya ndio ovyo kabisa ni kinachowaharibia ni wana ccm kushiriki kwa hali na mali kwenye mikutano yenu wakiwa na bendera zenu huku wakijulikana waziwazi na wakazi wa hayo maeneo kuwa ni makada wa ccm ukitaka kuamini nenda songea kesho uulize watu usikie unachoambiwa au wasemavyo watu wa hapo ndo utajua kuwa act mna kazi sana na hzo hela zitakwisha mda c mrefu ayatola mtamfilisi
 
Kwa haya yaliyotokea songea ni dalili tosha kuwa chadema ilikuwa inatembelea nyota ya zitto.

Sasa chadema itawekwa kwenye makumbusho ya taifa.Ubinafsi, ukabila na ufisadi ndio uliowaponza sasa tunasema chedema buriani.
 
Eti wanasema picha za maktaba zitto hajawahi kufanya mkutano wowote akiwa ACT zaidi ya leo...tshirt ya zitto inaonyesha ni current pictures. ......zindukeni misukule wa mbowe.
 
ACT- TANZANIA Means Ant-Chadema Truely Tanzania. Hiki sio chama cha Upinzani, ni kikundi cha kupinga Chadema. Hakina mikakati ya kupinga chama tawala bali chama kikuu cha upinzani. CHADEMA.
Mlisema waende field waache siasa za mtandaoni, sasa wapo field mnaanza kumbwela mtakubali tu.
 
Back
Top Bottom