Ni kweli mama.Tupo pamoja sana.Vyama vya siasa visiwe VITEGA UCHUMIMamndenyi said:mmmh. Hii Ni Kali.
Kigoma hiyo weka za leo
swissme
Duuuuu hiki chama tishio
Muone Tshati ya ZITTO To_confirm.... Kama Ni Picha Za Kweli, Basi Zito Ameanza Vyema.
Kwi kwi kwi kwi.CCM walitoa malori kukusanya watu vijijini.
Ukweli ni kitu kibaya sana nadhani roho yako itakuwa inakuuma kweli zitto lazima nyie chadema awalaze nje mtakoma.Asante CCM kwa kutuunga mkono
CCM B kazin