Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Kuna kitu nimekigundua,, watanzania tuna tangatanga ka vifaranga vya kuku vilivyofiwa na tetea lao. hivyo kila tunapojaribu kimbilia tunadonolewa na kuishia kufa njaa. NA BADO. TUTAKOMA.

CCM WATATUKOMESHA KWA UJINGA WETU WENYEWE
 
Chadema kubalini mmechesha kumfukuza ili jembe kazi mnayo ..ccm sasa njia nyeupe .....
 
ACT-Wasaliti ni sawa na bundle la MB 8 za voda so suburi liishe kwanza
 
Tanzania inabidi ibadilike.
Huyu ACT mnae mtukana ikitokea akapata wabunge wengi CDM itawabidi wamfate yeye ili waunge umoja wa Upinzani
 
Wafuasi wa CHADEMA wenye chuki na Zitto nadhani hizi ni salamu kwenu!
ACT wanafanya siasa za kistaarabu ndio maana wananchi wanajitokeza kwenye mikutano yao.
Hapo hawajatumia CHOPA lakini nyomi ndio hii!!
Poleni sana BAVICHA.

Kelele za mbu hazichani neti,watz hatuhitaji mpasuko UKAWA ndiyo mkombozi wa wanyonge.Mwaka huu tunaizika CCM na act kabuli moja.
 
wale bavicha na matusi yao sasa basi,ile saccos ya wachaga kwa sasa basi watapata kula kilimanjaro tu kwengine ndo wasahau
 
Zitto anakubalika na ana ushawishi huo ndio ukweli japo ni mchungu kwa baadhi ya watu,kama tungekuwa tunapenda vyama si tungependa tu hata CHAUSTA.
 
Haya mafuriko hayazuiliwa kwa kifusi,Waliosema ACT haitasimana sasa wanakisa pakuficha sura,bila shaka Uzalendo unazidi kuwsfikia wanyonge.

ACT-Wazalendo mmenilaza kwa furaha,Kesho itakuwa Njombe
 
Kelele za mbu hazichani neti,watz hatuhitaji mpasuko UKAWA ndiyo mkombozi wa wanyonge.Mwaka huu tunaizika CCM na act kabuli moja.

Bangi na madawa ya kulevya ya mtaa wa Ufipa zina kusumbua sana.....
 
Haya mafuriko hayazuiliwa kwa kifusi,Waliosema ACT haitasimana sasa wanakisa pakuficha sura,bila shaka Uzalendo unazidi kuwsfikia wanyonge.

ACT-Wazalendo mmenilaza kwa furaha,Kesho itakuwa Njombe

Na bado huu ni mwanzo tu,ACT ndio ukombozi wa kweli na wakifikira
 
Mimi nilienda kwenye Mkutano kumwangalia Afande Sele kwa sababu huwa namsikia tu kwenye Radio na kumwona kwenye TV
 
Back
Top Bottom