THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Wachaga chama chao ndiyo kimekufa Rasmi.
Mtei tafuta biashara nyingine.
Mtei tafuta biashara nyingine.
CCM walitoa malori kukusanya watu vijijini.
wamejambiwaCHAGGADOMO Wanaweweseka,Brainwashed na MBOWE.
Yaani act bwana ...ukitaka kujua kama hao walikuja kupoteza mda kesho cdm waitishe mkutano hapo uonee kizazaaa....hao walikwenda kumsikiliza msaliti zito...jiulize baada ya zito kuondoka nini kilijiri na nini kitakacjojiri hio kitu iliwagharimu sana cdm mwaka 2010 ila kwa sasa mtandao wao umeenea kila kona...act mjiulize kuna kiongozi yeyote yule mwenye mvuto hata wa kuita watu 10 zaidi ya zito katibu wenu ndo mweupee kabisa mwenyekiti ndo boyaa kabisa hao viongozi wa wilaya ndio ovyo kabisa ni kinachowaharibia ni wana ccm kushiriki kwa hali na mali kwenye mikutano yenu wakiwa na bendera zenu huku wakijulikana waziwazi na wakazi wa hayo maeneo kuwa ni makada wa ccm ukitaka kuamini nenda songea kesho uulize watu usikie unachoambiwa au wasemavyo watu wa hapo ndo utajua kuwa act mna kazi sana na hzo hela zitakwisha mda c mrefu ayatola mtamfilisi
songea nyumbani kwa CCM[/QUO
Mkuu 2010 Mafisi hawakushinda Songea Mjini yalikwiba kura
Wachaga chama chao ndiyo kimekufa Rasmi.
Mtei tafuta biashara nyingine.
Chagadema imebaki Machame tu
Na bado
Mtaongea hadi mtajinyea chadema mwaka huu.
Hela za rostam zitakutokea puani hufiki miaka hamsini marehemu mtarajiwapresha ya nini we kamanda? Ngoja siasa issues zifanye kazi sio siasa za matukio kama Chadema.
Mtaishia kuuzwa utumwani kama kuku nyie na huyo pwagu wenu zitto
Upuuzi mwingine huna formula maloli ya ccm kibao halafu munajipima na chadema watu vichwa unahesabu hawafiki mia tano duhMnapaswa kuhurumiwa Sana Chadema saccos,mwenzio alidai hizo picha Ni za KIGOMA wewe unasema ni edited haya Tunawasikilizeni ,endeleeni kujin yea.
Hela za rostam zitakutokea puani hufiki miaka hamsini marehemu mtarajiwa
Teh teh teh
Wachaga M4C iko wapi??
Shwain kabisa.
Nendeni mkafie mbele huko na saccoss yenu hiyo.
Kwa hiyo saccos ya waha de banyamulenge act ndio imepewa ujiko na ccm kudos ayatollahwale bavicha na matusi yao sasa basi,ile saccos ya wachaga kwa sasa basi watapata kula kilimanjaro tu kwengine ndo wasahau
Upuuzi mwingine huna formula maloli ya ccm kibao halafu munajipima na chadema watu vichwa unahesabu hawafiki mia tano duh