Kwa hapa Songea tuwe wakweli watu walifika wengi kwenye mkutano, ila nilichokiona ni kama chama fulani au mkakati wa chama fulani ulifanyika kwa kuwaandaa vijana wengi kuja mkutanoni na baada ya mkutano vijana hao waliokaa sehemu tofauti tofauti za mkutano, wakaanza kusema kwa hakika hawa ni wanaCCM, wametumwa wakitoa kashfa lukuki, na baadaye walionekana wakiwa vikundi vikundi katdiri ya mwelekeo wa watu wakisema wakitoa shutuma lukuki kwa ACT, na wale waliopanda kwenye madadala waliendelea kusema hayohayo, Hivyo ACT inapaswa kungalia kuwa wao wanapopanda mbegu nyuma kuna vijana wanapanda magugu