Mavazi yao kama yanafanana na CCM kwa umbali vile!
Hata magwanda ya Chadema yanafanana na yale ya MAPOLICCM vileeeeee
Mavazi yao kama yanafanana na CCM kwa umbali vile!
Salumu mwalimu inabidi akafanye mkutano kigoma ilikufuta nyayo za ACT.
Niko hapa Kigoma Zitto ni msaliti tu ashukuru kabouru kumsaidia wana CCM hakuna mwanachadema hapo vipi kwa mfuruki haendi
CKUJUA KUMBE ANAPAMBANA NA CDM?Aise njaa n mbya sna.laana ya wtz haitamwacha huyu yuda ASKRIOTI.ZAMBI YAKE IMEANDIKWA KW KALAMU YA SHABA.
Kwa siku ya leo ndugu zitto kabwe amefanya kazi ya kuifuta chadema katika mkoa wa kigoma kwa siku ya jana na leo kigoma mjini,zaidi ya viongozi wa kata mia mbili leo wamevua magwanda Yao na kuvaa uzalendo
Sio kwa mbali bali mavazi yao ni Jezi kamili za maccm...., kama hamuamini Zitto ni CCM damu damu basi angalieni hata picha basiMavazi yao kama yanafanana na CCM kwa umbali vile!
Kwi kwi kwi kwi!!Sio kwa mbali bali mavazi yao ni Jezi kamili za maccm...., kama hamuamini Zitto ni CCM damu damu basi angalieni hata picha basi
Kwani ACT ni chama tawala? Zitto kajiunga na ACT na anafanya kazi ya siasa CHADEMA mlivyomsusa na LISU kutangaza kumfukuza uanachama mlitegemea arudi Mwandika kushika jembe? wacha awashughulikie mtambue umuhimu wake na bado
CKUJUA KUMBE ANAPAMBANA NA CDM?Aise njaa n mbya sna.laana ya wtz haitamwacha huyu yuda ASKRIOTI.ZAMBI YAKE IMEANDIKWA KW KALAMU YA SHABA.
Sio kwa mbali bali mavazi yao ni Jezi kamili za maccm...., kama hamuamini Zitto ni CCM damu damu basi angalieni hata picha basi
Lazima aanze na niny mnaojiona miungu watu mnaominya demokrasia huku mkijiita democrasia
Hivi tuseme ukweli tu akitokea mtu kwa sasa ndani ys chagadema kuwa anagom
huko ccm ilishapotea kitambo sanaduh huko kigoma hakuna ccm?
Kama ni nyota ni kwa nini hamjamkaribisha CCM?Tatizo huyu jamaa ni nyota hata ukijaribu kupambana naye utaishia kuumia tu moyoni.