mkerewe halisi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 299
- 152
Mavazi yao kama yanafanana na CCM kwa umbali vile!
Haaa kujivua akili tabu sana,mpaka mavazi kuhalalisha uccm.tanzania tunashindwa kujenga siasa safi kwa aina hii ya watanzania,ndiyo maana leo hii tunashabikia mafisadi kuchukua nchi wakati hawajawahi kutueleza kwa uwazi kwenye tuhuma zao.