Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Ni katika muendelezo wa kutambulisha azimio la Tabora
attachment.php

attachment.php

attachment.php


hahahahaaaa........ZZK siku akiukosa ubunge wa hapa KIGOMA atazima hatoamini macho yake, time will tell
 
Kuwa anagombea urais kabla ya bos mwenye chama kibabu atapewa notice ya siku 7 kufukuzwa chama.....ndo maana had sasa hakuna mende wala mjusi kusema ajitokeze kugombea urais...amesubiliwa babu atakavyo na apendavyo ndipo atangaze
 
Hata wakiwachukua viongozi wote wa chadema tanzania nzima bado hawataweza kukamata dola,kama ndiyo lengo lao,ila kama lengo ni kupambana na chadema basi wataweza,chadema yenyewe bado haijaweza kupata 30% ya nafasi za uongozi nchi hii,nyie badala mgombee kula katika sahani kubwa nyie mnanyanganyana kidogo kilichopo kwenye kijiko cha mwenzako,ambacho hata ukipewa chote hutashiba!!! Shit!!
Wamepewa barua ya kujiunga nao wamegoma sasa uwafanyeje?
 
Kuwa anagombea urais kabla ya bos mwenye chama kibabu atapewa notice ya siku 7 kufukuzwa chama.....ndo maana had sasa hakuna mende wala mjusi kusema ajitokeze kugombea urais...amesubiliwa babu atakavyo na apendavyo ndipo atangaze

kibabu ndo nani mkuu?
 
Zitto ni kisiki haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa................ukiona hasira zimekukaba kula ndimu ulaleeeeeeeeeeeee matusi hapana............. twenzetu kigoma

10451705_869829823109077_1684487249504284933_n.jpg
 
CKUJUA KUMBE ANAPAMBANA NA CDM?Aise njaa n mbya sna.laana ya wtz haitamwacha huyu yuda ASKRIOTI.ZAMBI YAKE IMEANDIKWA KW KALAMU YA SHABA.

Wewe nawe sijui umekula maharage ya wapi yale,mkutano wa watu hao wote wana ccm?hivi hatuwezi kuona madhara ya huyu bwana mdogo?ngoja watu wajifariji tusubir oktoba tupeane tathimini.
 
Wewe nawe sijui umekula maharage ya wapi yale,mkutano wa watu hao wote wana ccm?hivi hatuwezi kuona madhara ya huyu bwana mdogo?ngoja watu wajifariji tusubir oktoba tupeane tathimini.
Hilo litawaponza niujinga kukalia chuki na kejeli wakati wenzie wakifanya yao,
 
Tanzania bara na visiwan mwenye sifa ya kibabu ni mmoja tu Anayetafuta watoto uzeeni si mwingine ni Dr WS...presidential material toka UKIWAAA
 
Huyu katudanganya hata kama kuna mambo tunakubaliana.katufanya mazuzu wa siasa.kata mia mbili ni sawa kweli? Usemaji huu unakuwa kama wa.jerry muro yanga,masau bwire au manara simba?ushabiki mtupu.

nadhani alimanisha idadi ya viongoz na sio idadi ya kata
 
Yeye alisema kata mia mbili!!! Ndio maana tukamuambia ametia chumvi

Hata kama tunakubaliana na baadhi ya kile anachofanya zitto bado wanatudanganya kwa hao viongozi mia mbili,tuwe realistic,hicho kitu kitaonyesha taswira kwamba yalikuwa mapandikiz ya zitto na hawakuwa na mapenzi na sera za chadema.unajua waleta mada wanadhan wanakisaidia chama chao kumbe wanaharibu taswira kwa watu makini.viongozi mia mbili kutoka kata zote?zitto badili timu!
 
Ndoto iyo

2010 nilikuwa hapo kigoma kwenye kampeni,nguvu ya chadema ilikuwa kubwa,ambayo sasa imekuwa nguvu ya act,tuwe wakweli bila ushabiki.serukamba alishinda kwa bahati tu na analijua hilo na ndo maana ameamua kuwa kwenye kwapa za lowassa ili badae asipotee.kama chadema na act wakichanga karata vizuri watachukua jimbo,kwangu mimi uwezekano nawapa act kutokana na siasa za kigoma na hulka za watu wa huko.
 
Mbona huko kwingine hamjatuambia waliojiunga au mahaba name stori za chemical Ally.
 
CHADEMA wakiona hivi wanabaki kulaumu tu maamuzi mabaya ya MBOWE na wapambe wake.

Bado mtaendelea kujuta sana!
 
Back
Top Bottom