Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Halafu uzalendo huwezi kuuvaa, kwa kuwa hauonekani kwa macho. Acha mahaba Niue.
 
CHADEMA wakiona hivi wanabaki kulaumu tu maamuzi mabaya ya MBOWE na wapambe wake.

Bado mtaendelea kujuta sana!

sijawahi kukutana na post yeyote inayoonyesha CDM wanamjutia ZZK zaidi yuko na wale wanaofanana na Wewe kifikra
 
Zitto ni kisiki haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa................ukiona hasira zimekukaba kula ndimu ulaleeeeeeeeeeeee matusi hapana............. twenzetu kigoma

10451705_869829823109077_1684487249504284933_n.jpg

Rumenyela ndo nani?
 
sijawahi kukutana na post yeyote inayoonyesha CDM wanamjutia ZZK zaidi yuko na wale wanaofanana na Wewe kifikra
Hujawai kwakuwa hakuna nafasi ya yeyote kumlaum MBOWE ukijaribu inakula kwako
 
Ha ha haaaaaaaaaaa....twenzetu kigoma, kama huna vitz dandia hapo kwenye Avatar..Tareh 20 jembe litakuwa Mbeya
11401495_950704288283602_6096209917081871578_n.jpg
 
Hata kama tunakubaliana na baadhi ya kile anachofanya zitto bado wanatudanganya kwa hao viongozi mia mbili,tuwe realistic,hicho kitu kitaonyesha taswira kwamba yalikuwa mapandikiz ya zitto na hawakuwa na mapenzi na sera za chadema.unajua waleta mada wanadhan wanakisaidia chama chao kumbe wanaharibu taswira kwa watu makini.viongozi mia mbili kutoka kata zote?zitto badili timu!

It's too low my friend think twice before submitting your post
 
Zile pesa walizoambiwa watapewa wameshapata?...
 
Akili ya Zito ukichanganya na ya CCM jibu ni kuua upinzani.Ila wameshachelewa mwaka huu hakuna cha zito wala cha ka ccm lazima tuwazike wote kaburi moja october.Serikali imechoka hata wananchi tumeichoka.
 
Akili ya Zito ukichanganya na ya CCM jibu ni kuua upinzani.Ila wameshachelewa mwaka huu hakuna cha zito wala cha ka ccm lazima tuwazike wote kaburi moja october.Zerikali imechoka hata wananchi tumeichoka.

Zerikali=Serikali

Punguza jazba
 
Back
Top Bottom