Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kigoma mjini leo

Hapo sasa CCM njia nyepeeee kama inaliaaaaa..... vile vikura vya cdm vyote ACT inasomba
 
Baada yakuzomewa nakuabikika kanda ya Ziwa ameamua arudi kwa waha wenzake ...sijui kasomba watu nafuso afu katupia picha chap chap mtandaoni...ninavoona yupo kwenye last stage ya kufa anarusharusha mguu akate roho ya kisiasa ... Hata haandikwi tena magazetini na hamna anayevutiwa nastory zake hata angejaza watu milionni. Naona ameshapata matatizo yakisaikolojia
 
Baada yakuzomewa nakuabikika kanda ya Ziwa ameamua arudi kwa waha wenzake ...sijui kasomba watu nafuso afu katupia picha chap chap mtandaoni...ninavoona yupo kwenye last stage ya kufa anarusharusha mguu akate roho ya kisiasa ... Hata haandikwi tena magazetini na hamna anayevutiwa nastory zake hata angejaza watu milionni. Naona ameshapata matatizo yakisaikolojia

Jamaa unatia huruma kweli kwa jinsi ilivo jitutumua ,mbowe akipita huku atakuonea huruma walau waweza ambulia 2500/=
 
mnaongea vimaneno hivo tatizo inchi hamuijui akili zenu ximeganda mbona kili siku kigoma tu vp hamujiulizi
 
Dah huyu kijana wa mwandiga hatari,
Ngoja tuitishe kikao cha dharura hapa ufipa kumshughulikia,
 
Baada yakuzomewa nakuabikika kanda ya Ziwa ameamua arudi kwa waha wenzake ...sijui kasomba watu nafuso afu katupia picha chap chap mtandaoni...ninavoona yupo kwenye last stage ya kufa anarusharusha mguu akate roho ya kisiasa ... Hata haandikwi tena magazetini na hamna anayevutiwa nastory zake hata angejaza watu milionni. Naona ameshapata matatizo yakisaikolojia

By Ritz:
"Tatizo huyu jamaa ni nyota hata ukijaribu kupambana naye utaishia kuumia tu moyoni"
 
Hata wakiwachukua viongozi wote wa chadema tanzania nzima bado hawataweza kukamata dola,kama ndiyo lengo lao,ila kama lengo ni kupambana na chadema basi wataweza,chadema yenyewe bado haijaweza kupata 30% ya nafasi za uongozi nchi hii,nyie badala mgombee kula katika sahani kubwa nyie mnanyanganyana kidogo kilichopo kwenye kijiko cha mwenzako,ambacho hata ukipewa chote hutashiba!!! Shit!!

Kitufe cha LIKE hakitoshi!
 
Hata wakiwachukua viongozi wote wa chadema tanzania nzima bado hawataweza kukamata dola,kama ndiyo lengo lao,ila kama lengo ni kupambana na chadema basi wataweza,chadema yenyewe bado haijaweza kupata 30% ya nafasi za uongozi nchi hii,nyie badala mgombee kula katika sahani kubwa nyie mnanyanganyana kidogo kilichopo kwenye kijiko cha mwenzako,ambacho hata ukipewa chote hutashiba!!! Shit!!
wao ndo walianza kumnyang'anya kilichokuwa kidogo, afanyeje, nadhani msg sent kuwa Lema ngome yake Arusha, hata akimtukana ZZK hafukuzwi haonywi na anabaki kipenzi cha Mbowe na wana cdm arusha, lakni ZZK ngome yake naye ni kigoma kama ilivyo pemba ngome ya cuf
 
Back
Top Bottom