Tatizo huyu jamaa ni nyota hata ukijaribu kupambana naye utaishia kuumia tu moyoni.Ni katika muendelezo wa kutambulisha azimio la Tabora
Kwa siku ya leo ndugu zitto kabwe amefanya kazi ya kuifuta chadema katika mkoa wa kigoma kwa siku ya jana na leo kigoma mjini,zaidi ya viongozi wa kata mia mbili leo wamevua magwanda Yao na kuvaa uzalendo
Kwa siku ya leo ndugu zitto kabwe amefanya kazi ya kuifuta chadema katika mkoa wa kigoma kwa siku ya jana na leo kigoma mjini,zaidi ya viongozi wa kata mia mbili leo wamevua magwanda Yao na kuvaa uzalendo
Tatizo huyu jamaa ni nyota hata ukijaribu kupambana naye utaishia kuumia tu moyoni.
Kata mia mbili?
Salumu mwalimu inabidi akafanye mkutano kigoma ilikufuta nyayo za ACT.
Kwa siku ya leo ndugu zitto kabwe amefanya kazi ya kuifuta chadema katika mkoa wa kigoma kwa siku ya jana na leo kigoma mjini,zaidi ya viongozi wa kata mia mbili leo wamevua magwanda Yao na kuvaa uzalendo