PICHA 18: Diamond Platnumz na Team yake WCB walivyoziuza tiketi kwa mashabiki

Ama kweli hali ni mbaya,pamoja na Diamond kujitokeza kuuza mwenyewe tiketi ndio watu hao wawili tu?
Nilitegemea kuona mafuriko!
Mhhhhhh!
Poleni in advance WCB!
Ww ni mnafiki mtasubiri sana kwa diamond, huyo jamaa kashafika mbali kilichobaki ni chuki yenu tu lkn Mungu alishamuinua mtachemka tu kenge nyie mnakuwa kama vijana wa chadema wanaolipwa kukosoa kila jambo linalofanywa na serikali
 
nilichogundua hapa
mashabiki wa Ali "K" ndio watu wanaomfuatilia sana Diamond Platinumz na WCB kwa ujumla hata kuliko mashabiki wa Diamond.

Na ndio watu ambao wana full-updated details za Diamond hata kuliko mashabiki wa Diamond

Na ndio maana hata Diamond anapata viewers wengi sana Youtube hadi inaanza kusemekana amenunua kwa sababu anamashibiki hadi wale wa Ali "K"
Halafu hao hao ndio wanaanza kuhoji amepataje hizo viewer wakiwa wamesahau kuwa wao ndio walikuwa watu wa kwanza kabisa kuitazama video.

USHAHIDI NI COMMENTS ZA HII POST
IDADI TUMEZIDIANA KABISA..
 
Halafu anazouza yeye ni laki 1!
Mhhhhhh hebu tusubiri hiyo kesho...huenda mambo yakiwa mabaya wataziuza kwa bei ya taifa elfu 10.
Na wamesema kesho mlangon hawatauza ticket so wakiuzia mlangoni shoo ishabuma watu mlale tu
 
Pamoja na kwamba kaingia mwenyewe mzigoni mambo sio mambo mkuu!
Muitikio ni mdogo sana!
Elfu 30 sio ndogo usawa huu wa Magu, na hao wachache waliofika hapo wameenda kupiga selfie tu
0F8A7130.jpg

Ni Dec 23, 2016 ambapo mkali Diamond Platnumz pamoja na Team yake nzima ya WCB walifika Mlimani City Mall kuziuza tiketi kwaajili ya show yao iitwayo Wasafi Beach Party itakayofanyika Dec 24, 2016 Jangwani Sea Breezy Dar es Salaam.

Diamond Platnumz alikuwa akiuza tiketi za VIP shilingi 100, 000/= huku Rayvanny akiuza tiketi za kawaida kwa shilingi 30,000/= na hizi ni baadhi ya picha kutoka Mlimani City Mall.

0F8A7081.jpg

.Rayvanny akimuuzia tiketi shabiki alifika Mlimani City Mall

0F8A7094.jpg

.

0F8A7096.jpg

.

0F8A7116.jpg

.

0F8A7130.jpg

.

0F8A7135.jpg

.

0F8A7138.jpg

.

3X6A6923.jpg

.

3X6A6927.jpg

.

3X6A6937.jpg

.Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam

3X6A6952.jpg

.Team nzima ya XXL ya Clouds FM

3X6A6953.jpg

.

3X6A6974.jpg

.Harmonize

3X6A6978.jpg

.Rich Mavoko

3X6A6982.jpg

.Rayvanny

3X6A6985.jpg

.(Kulia) Diamond Platnumz akiwa na Dj R J

3X6A7002.jpg

.Queen Darling​
 
Ww ni mnafiki mtasubiri sana kwa diamond, huyo jamaa kashafika mbali kilichobaki ni chuki yenu tu lkn Mungu alishamuinua mtachemka tu kenge nyie mnakuwa kama vijana wa chadema wanaolipwa kukosoa kila jambo linalofanywa na serikali
Povu linakutoka hivo utadhani wewe ndiye diamond? Au we salam
 
Sura ya daimond haikuchangamka, anaonekana hana furaha kama ana stress.
-anatakiwa akipiga picha na mashabiki atoe tabasam na kuinjoy
 
Ila mimi sijaelewa maana kwanza ilikuwa ni WCB perfomance lakini kila saa inakuwa tena wanaongezwa wanawake malaya na vichupi sasa nitoe alfu 30 kwa mziki au kushangaa vichupi. Bado sijaelewa madhumuni ni nini.
 
Back
Top Bottom