PICHA 18: Diamond Platnumz na Team yake WCB walivyoziuza tiketi kwa mashabiki

Maboso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
5,164
5,761
0F8A7130.jpg

Ni Dec 23, 2016 ambapo mkali Diamond Platnumz pamoja na Team yake nzima ya WCB walifika Mlimani City Mall kuziuza tiketi kwaajili ya show yao iitwayo Wasafi Beach Party itakayofanyika Dec 24, 2016 Jangwani Sea Breezy Dar es Salaam.

Diamond Platnumz alikuwa akiuza tiketi za VIP shilingi 100, 000/= huku Rayvanny akiuza tiketi za kawaida kwa shilingi 30,000/= na hizi ni baadhi ya picha kutoka Mlimani City Mall.

0F8A7081.jpg

.Rayvanny akimuuzia tiketi shabiki alifika Mlimani City Mall

0F8A7094.jpg

.

0F8A7096.jpg

.

0F8A7116.jpg

.

0F8A7130.jpg

.

0F8A7135.jpg

.

0F8A7138.jpg

.

3X6A6923.jpg

.

3X6A6927.jpg

.

3X6A6937.jpg

.Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam

3X6A6952.jpg

.Team nzima ya XXL ya Clouds FM

3X6A6953.jpg

.

3X6A6974.jpg

.Harmonize

3X6A6978.jpg

.Rich Mavoko

3X6A6982.jpg

.Rayvanny

3X6A6985.jpg

.(Kulia) Diamond Platnumz akiwa na Dj R J

3X6A7002.jpg

.Queen Darling​
 
Kama Ruge kanunua hii show basi ahesabu maumivu kabisa. Muitikio unaonekana mdogo japo sijajua kwa kesho itakuaje. Huenda watu walikua busy na kazi.

Hata muonekano wa nyuso za team nzima pamoja na CEO mwenyewe siyo wa Furaha,huenda madude hayauziki kwa kiwango wanachokitaka.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom