mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
Nimecheka balaa mtoto wa kiume kadata kupiga picha na mkareeeee
Nimecheka balaa mtoto wa kiume kadata kupiga picha na mkareeeee
nifah unahitaji picha tena za mond au tukuletee za dodoma kwenye show ya kiba,usisahau show yake ni leo tena dodoma mjae basi mumpe moyo kijana wenu.Wazee wa sold out
Kesho tunataka picha za kila angle,ile tabia yenu ya kutupigia picha za karibia na stage tu hapana taka
Hamna cha marketing strategy wala nini,kwani hii ndio show ya kwanza ya Diamond?
Aaarrrgghhh tuache maneno tusubiri kesho panapo majaaliwa
Nimenuna kama nini hapa tena usinikumbushe
Uliniambia #kajiandae# nimejiandaa...
Kuna mtu nilimuonyesha huku ugaibuni msanii Anauza tkt za show yake Kwenye mall alicheka Sana akasema kwani Hana management
Inategemea na kiwango cha akili cha huyo mzungu uliyemuonyesha.. Maana kuna wazungu wengine wehu tu bora hata sisi akina kobelo wa tandale..Halafu anasifiwa eti ni marketing strategy.
Bora useme wewe,nikisema mie naambiwa nina IQ ndogo,nina roho mbaya n.k
kwakweli bora umesema maana inakera sana nyie majamaaWw ni mnafiki mtasubiri sana kwa diamond, huyo jamaa kashafika mbali kilichobaki ni chuki yenu tu lkn Mungu alishamuinua mtachemka tu kenge nyie mnakuwa kama vijana wa chadema wanaolipwa kukosoa kila jambo linalofanywa na serikali