Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
huwezi post kitu cha facebook kihivo sisi si rafiki zako page can not be displayed
huwezi post kitu cha facebook kihivo sisi si rafiki zako page can not be displayed
Haya chief nisharekebisha links from another source.
static.wix.com/media/15c99f_0a4ed38....jpg_srz_650_413_85_22_0.50_1.20_0.00_jpg_srz
na nyingine ni hii
static.wix.com/media/15c99f_e76da6e....jpg_srz_325_413_85_22_0.50_1.20_0.00_jpg_srz
Na ya mwisho ni
static.wix.com/media/15c99f_24fed26....jpg_srz_318_413_85_22_0.50_1.20_0.00_jpg_srz
We umeeka maneno na picha za kupaste au hadi picha zako?
Nubert hiyo picha ulovaa miwani ina tatizo katika lighting effects. Kama ulitumia spotlight mode inazingua ukishindwa kuitumia vizuri ndio maana mkono wa kushoto ni mweusi sana wakati uso ni brown.Sina ! Hz zlikua kama sketch flan sema nkabadili colour tu.., nakuongezea ujanja kdogo! Lakn haina ufundi sanaaaa![]()
Knacho nipa uvivu ku edit pcha za kawaida n kwamba nkiwa seriouz najkutaga nmeboronga![]()
Ila nkiwa nafanya utan najkutaga nmepatia![]()
Kuwa makini na perspective cuz huyo dada ktk tangazo la tigo (your project) ameshika laptop that DOES NOT EXIST.Imekuwa pana sana...Sijaweka maneno tu, hizo picha ziko edited, mfano hilo tangazo nililo tengeneza ka la mpesa, huyo dem na huyo mtoto nimewatoa kwenye background tofaut na huyo mtoto alikuwa kaangalia kulia yuko sehemu tofauti na unayo iona hapo, nlichokifanya nkawaweka background znazoendana na nachotaka kionekane huyo mama aonekane ofisin mtoto ka yuko mazingira flani ya shule.
Hiyo ya dj nilicho chukua ni huyo dj na mashine tu hyo anayo scrtch, naye nkamuedit aendane na nalotaka fanya yaliyobaki unayo yaona kazi ya photoshop yote, hiyo ya fasheni shoo hyo ni kazi ya photoshop mwanzo mwisho na haikukaa kama nlivyotaka imekuwa kama chafu chafu flani na huyo mwanaume anayetembea nmechemka kivuli chake maana nimeshindwa weka kivuli cha karatas aliyo shikilia hivyo imeyoka na u light blue kwenye kivuli
Kuwa makini na perspective cuz huyo dada ktk tangazo la tigo (your project) ameshika laptop that DOES NOT EXIST.Imekuwa pana sana...
Pia kuwa makini unapokuwa unakata background kwa kutumia polygonal lasso tool cuz ktk background ya website yako, hiyo picha ina weupe on the edges na pia haipo smooth.
nna psd kibao ambazo nataka kushea na watu ila sasa ku upload sijui niziweke wapihumu itakua ni kujiproud tu mnatakiwa mueke psd ili mwenzako nae aone umefanyaje navowajua wabongo full ku upload picture
Nubert hiyo picha ulovaa miwani ina tatizo katika lighting effects. Kama ulitumia spotlight mode inazingua ukishindwa kuitumia vizuri ndio maana mkono wa kushoto ni mweusi sana wakati uso ni brown.
Photo filter huwa iko poa (kwa general brightnec + colour) au ukitumia spotlight unaenlarge ili mwanga uaffect picha nzima.
haya guys mi naanza kwa kuwapa psd ya kadi ya kupigia kura hii nimeitengeneza mwenyewe... please msiende kusema mmeitengeneza nyie, mtoe credit kwa msanii husika ambaye ni mimi
link hii hapo chini
http://mtotosix.tk/files/filestore/mtotosix.zip
snapshot hii hapa![]()
tunashea ujuzi hahha thanks anywaysmtoto six ur always a champion. Nakukubari sana
weka utaalam wako sasa sio unasema tuSijaona mtaalam hapa, bado wote ni begginers, photo editing has never been easier!