Bakita
Senior Member
- Sep 16, 2013
- 103
- 29
Unashangaa, si ndiyo maana wanachaguliwa wanaume wambea tu kama kina Nape na Kinana before alikuwa Mze Makamba ili wawadanganye wananchi tuko vitani na vyama vya upinzani vinataka kuleta vita Tanzania. uko kijijini ukimwambia mwananchi kitu vita si atachekelea CCM ishinde. CCM ni majanga na nafikiri kimelaaniwa na Nyerere na ndiyo maana viongozi wake hawana msimamo. Yaani mtu ukighushi tu cheti unapata uwaziri na kula mali za taifa.
Mkuu nakubaliana nawewe kwani CCM ni sawa na chama cha ufalme kwa madaraka, na kwa ulafi wa mali za umma ni sawa na chama cha majuha, wao siku zote wanajua wananchi wao ni majuha na mafala tht y wanaongoza kujenga maskan za wakereketwa na kuwalaghai watu na mivao yakanga pmja na tshrt mbovu za kuvulia samak kama majarife, na wananch wameridhika, hawa CCM wanatutia vidole halafu wanatunusisha wenyewe.....