Kwa wanaoweza kunisaidia ku-interpreter hii picha
View attachment 117110
i. Picha inamaanisha nini?
ii. Ilipigwa kipindi gani? Cha kampeni, baada ya kampeni au wakati mmiliki wa mjengo anajiunga au alipoachana na chama chetu?
iii. Mmiliki wa mjengo ni Mtanzania? ana maisha bora kama sisi wengine?
iv. Mpiga picha alidhamiria nini, Anatoa ujumbe gani kwa jamii?
v. Kitambaa/pazia la mlangoni liko sehemu sahihi hapo? Inaonyesha wamiliki wa hicho kitambaa wanafanana na jengo hilo au mmiliki ni kutoka kambi ya tofauti?
NAWASILISHA NATAKA HOJA TU, MATUSI HAPANA
Kha! kweli nyani haoni kundule! na wewe hupata wapi muda wa kushinda mitandaoni ukiandika upuuzi usio na maana?...Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?
...Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?
Ndio chadema ina jobless ila nyie mmepewa michongo na mapande na wazee wenu mpo Bot nssf (tanapamnauza meno ya tembo mpo bze) (usalama mnangoa watu meno bila ganzi) (pccb mnabambika watu wema rushwa huku mkilinda babazenu mafisadi) tanesco migodini mnewekwa kusimamia 10%za baba zenu.ila wazururaji propartless ndo wataleta mageuz hapa nchini watoto wa tandale mbagala buguruni na wala sio nyie mlioko bize kusulumu watoto wa wavuja jasho....Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?
...Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?
...Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?
Mwenye huo mjengo huyu hapa - bado ana matumaini ya maisha bora hadi kufikia 2015
![]()
Hii inanikumbusha gazeti moja linalotoka kilasiku limeandika ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA WALIOCHAGUA HICHO CHAMA NA RAISI WAKE NI WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA! Naomba mkalitafute hilo gazeti kama sikosei ni la jana au juzi!
(Sasa wanajuta sana)!
Kwa wanaoweza kunisaidia ku-interpreter hii picha
View attachment 117110
i. Picha inamaanisha nini?
ii. Ilipigwa kipindi gani? Cha kampeni, baada ya kampeni au wakati mmiliki wa mjengo anajiunga au alipoachana na chama chetu?
iii. Mmiliki wa mjengo ni Mtanzania? ana maisha bora kama sisi wengine?
iv. Mpiga picha alidhamiria nini, Anatoa ujumbe gani kwa jamii?
v. Kitambaa/pazia la mlangoni liko sehemu sahihi hapo? Inaonyesha wamiliki wa hicho kitambaa wanafanana na jengo hilo au mmiliki ni kutoka kambi ya tofauti?
NAWASILISHA NATAKA HOJA TU, MATUSI HAPANA
Mie nilipata fununu Kua kuna baadhi ya maeneo Tanzania hii hii kuna watu mpaka Leo wanajua Nyerere ni rais, jamani ni ya kweli haya? Maana hii pict inauhalisia flani kwa Yale niliyoyasikia, mungu irehem Tanzania