Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,211
- 8,051
CHADEMA tunagawana kazi siyo vyeo kama ameshindwa akaondoka akaenda ACT ni haki yake .njaa ni mbaya sana
Kama njaa zilivyowashika Lowassa, Msindai , Masha, Mgeja baada ya kukosa vyeo wakahama
CHADEMA tunagawana kazi siyo vyeo kama ameshindwa akaondoka akaenda ACT ni haki yake .njaa ni mbaya sana
Hivi chuo alimaliza??????
Mkuu ndio maana tunasema Chadema hakuna demokrasia,wao huisema CCM lakini wamesahau kuwa wao wamekuwa wakipokea makapi na kuwapa nafasi ya ubunge,na baado sisi tulijua tu haya yatatokea,haiwezekani mtu aliyekijenga chama kwa miaka nenda rudi leo ampishe mtu ambaye hata sera na kanuni za chama hazijui,sidhani kama ingekuwa CCM wangekubali ujinga huo eti leo mtu kakosa nafasi ya kuchaguliwa huko Chadema aje CCM leoleo na apitishwe kugombea nafasi,lazima kwanza akae kwanza ajadiliwe ndio chaguzi nyingine afikiriwe,wakihama makapi CCM hushangilia utadhani ndio wameshinda ,wakiondoka huko kwao hununa eti lengo ni moja ,lengo ni moja basi liwe kwa kutumia njia sahihi na si ujanja ujanja tu,CCM B(waliokatwa) kamwe hawatapeleka ikulu labda wazungumzie UFISADI tena kama walivyofanya hapo nyuma ,kitu ambacho kamwe kwa sasa hakizungumziwi ni kama mwiko sasa kuzungumzia UFISADI huko Chadema na UKAWA yao sasa wamerukia katiba,katiba bila ya kuondoa ufisadi ni sawa na kucheza kigodoro.Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?
alifukuzwa mwaka jana kwa ushawishi wa ccm kisa alikuwa cdm lakini leo anaamua kuhamia act ambapo atazigawa kura za cdm ili kuisaidia ccm anayoipinga kila siku ishinde
Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?
Kamanda usimpangie Philipo Mwakibinga ni mtu mzima ana maamuzi yake.
kwa hiyo hata akina said mkumba, hamisi mgeja, mgana msindai, esther bulaya, james lembeli, makongoro mahanga, ole telele na wengineo wamekosea?
Ndugu Magufuli aliuza nyumba za Serikali kwa Wananchi na bei nafuu kwasababu ilikuwa ni mali ya Umma. Hazikuuzwa kibiashara na lengo ni kuwapatia watumishi wachache haki miliki ya nyumba hizo. Mie sioni tatizo pale maana walionufaika ni Watanzania na si rahisi tukapata wote.CCM maghufuli ni fisadi wa alivyouza nyumba za serakali.
Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?
Nimeona kwenye fb page yake.Nimekatishwa sana tamaa na kijana huyu niliyemwamini kama mpambanaji.Sawa ni maamuzi yake.Najua atashibdwa na baadaye atarudi tena CHADEMA!!
Mwakibinga kazi yote aliyotufanyia Udom ameizika kwa siku moja, hopeless kabisa mwakibinga. Tumemwondoa whatsap groups zote za ukawa wa leo akajiunge ya act.