Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

Bora basi angeenda CCM kama ana ubavu lakini huko alikoenda nina shaka kama atafanikiwa. Hicho chama ni bado kichanga sana kinashindwa hata kumpata mgombea wa Urais wakati kwenye vyama vingine watu wanagombana na kususa kwa sababui tu wameenguliwa kwenye nafasi ya kuwa wagombea wa Urais.
Mbona tunaambiwa Samson Mwigamba ndiye mgombea wao! Alafu, mbona vyama vingine vilishindwa kumpata mgombea Urais kutoka vyama vyao hadi mgombea wao akachukuliwa nje ya vyama vyao na kumsilimisha!
 
Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?
CHADEMA ndo huwa nashindwa kuwaelewa kwenye tabia za hivi.
Siku hizi wanazomea watu waliovaa nguo za CCM wakati kuna watu wanavaa nguo za CHADEMA, sijui nao wazomewe.
CHADEMA wanakosa maarifa kabisa na mwaisho wao ni baada ya Uchaguzi mkuu wa 2015.
 
nampalapala... Jitahidi kujenga hoja ushabiki tupa kulee..

Acha kijana uokoke.. Njoo ukawa usichelewe

wewe ndo ujenge hoja,lizaboni kauliza jibu,mbna ccm wakitamka richmond na nyie ukawa mnatamka escrow ushabik upo wap hapo?
 
Well said brother.. Tatizo vijn wengi hushindwa kutofautisha harakti zao na nfasi za kisiasa.. Siasa hubadikika gafla na yapasa hujiandae vyema kisaikolojia..kakosea.. Namfaham uyo jamaa angekuja kuwa potential saaana mbeleni.. Muda utatoa majibu. Tuombe uzima

Vipi waliohama kutoka ccm kwenda upande wa pili hawajachemka? Au kwa kuwa ni wazee sana - Kingunge, Mgeja, Bulaya (Bunda), Lembeli, Msindai (Singida mjini), etc
 
Bora basi angeenda CCM kama ana ubavu lakini huko alikoenda nina shaka kama atafanikiwa. Hicho chama ni bado kichanga sana kinashindwa hata kumpata mgombea wa Urais wakati kwenye vyama vingine watu wanagombana na kususa kwa sababui tu wameenguliwa kwenye nafasi ya kuwa wagombea wa Urais.

Hakuna chama kichanga as long as kimepata usajili wa kudumu.
 
Philipo yupo sahihi. kama uchaguz ulikua na zengwe kwanin asitafute mabadiliko nje ya cdm? unasema ni mkali kisiasa na anaushawshi, mumuunge mkono il awatmikie!
 
CHADEMA tunagawana kazi siyo vyeo kama ameshindwa akaondoka akaenda ACT ni haki yake .njaa ni mbaya sana

Nakuunga mkono. Ila Wanachama wa CCM Njaa imewazidi sana - Lowasa, Masha, Msindai na unene wake, etc
 
Mbona tunaambiwa Samson Mwigamba ndiye mgombea wao! Alafu, mbona vyama vingine vilishindwa kumpata mgombea Urais kutoka vyama vyao hadi mgombea wao akachukuliwa nje ya vyama vyao na kumsilimisha!

hata ukawa inaonekana ilikosa mgombea urais ndomana nayo ikamsilimisha lowassa ni kawaida....
 
Mwakibinga kazi yote aliyotufanyia Udom ameizika kwa siku moja, hopeless kabisa mwakibinga. Tumemwondoa whatsap groups zote za ukawa wa leo akajiunge ya act.
 
Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?

Msamehe hajui anenalo,tukutane oct.25
 
Bora basi angeenda CCM kama ana ubavu lakini huko alikoenda nina shaka kama atafanikiwa. Hicho chama ni bado kichanga sana kinashindwa hata kumpata mgombea wa Urais wakati kwenye vyama vingine watu wanagombana na kususa kwa sababui tu wameenguliwa kwenye nafasi ya kuwa wagombea wa Urais.
Aende CCM wakati nia yake ni ''kuwatumikia wananchi wake''! Na CCM kumejaa na huko ndiko kugumu kuliko! Vijana wengi Tanznia wameingia kwenye siasa kutauta ulaji na hakuna cha mambo ya kuwatumikia wananchi kama wanavyodai. Siasa imekuwa pango la watu wanaojua kujipendekeza na kubwatuka. Hii ni kwasababu wananchi wetu wanarubunika kirahisi na kuchagua watu ovyo.
 
Malisa Godlisten

Haya maneno nadhani yangemfaa Lowasa kwani yeye ndiyo wa kwanza kukataa kukatwa hata wabunge wake hawatakubari kamwe.
 
Last edited by a moderator:
mkuu lizaboni wote hao uliowataja hakuna atayeshinda hata mmoja; bulaya ni ndoto kumshinda wasira na lembeli hawezi kumshinda kishimba so wote naona wamekul wa chuya

Lembeli anashinda asubuhi
Labda Bulaya
 
Back
Top Bottom