Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

Mimi ni mwanachadema lakini nasema wazi ni upuuzi mtu kahama CDM na kuonekana kakosea. CDM ni chama kama vilivyo vingine. Ni haki ya mtu kuwapo chama fulani na kuhama chama hicho,ni haki yake. Sio lazima wote tuwe CDM!!
 
mkuu lizaboni wote hao uliowataja hakuna atayeshinda hata mmoja; bulaya ni ndoto kumshinda wasira na lembeli hawezi kumshinda kishimba so wote naona wamekul wa chuya

Watu wengine huwa mnaongea utadhani mmetundikiwa sigara kubwa midomoni!!

Wasira au Kishimba ni akina nani hapa Tz?
 
Tusimsakame sana dogo.
Mbona tunao wabunge wetu wengi hawana degree?
Elimu ya dogo na ya baadhi ya viongozi kadhaa waandamizi wa chama vianendana. Kuwa na degree ni changamoto. Kilichomkosesha ni ukamanda na amekatwa...
dah

Simsakami mkuu, ila hayo mazingira yake aliyoacha nayo chuo ....hata bungeni atakufukuzwa- fukuzwa tuu
 
Hahahaaaa...mwakibinga bana!
Kila la kheri bana..nakumbuka siku ileeee unaongoza nyimbo za mgomo UDOM (2010)..ila chunga sana, ukikosa ubunge..siasa ndo utapotea hivyo, istoshe hata zile platform za migomo wameshakubana..sjui umaalufu utaupatia wapi tena. Anyways..i like him, ana msimamo! Anafaa kuwa mbunge..akomae!

Umenikumbusha mbali bro, ila nakumbuka mgomo wa 22th Dec 2010 uliongozwa na presdent SINGO(sijui kwa sasa yuko wapi now kama unajua utaniambia) wakati huo Mwakibinga alikua waziri wa elimu. Mwakibinga aliongoza harakati kama hizi mwezi June 2011 akiwa amerithi kiporo cha kazi ya Singo kudai field.
 
Unapomshauri mwakibinga tuu ungeanza na Lowasa ningekuunga mkono ndugu yangu tuwe makini na wanaohama kwa sababu wamekosa au kukatwa siyo kuwa wamependa mfano namfagilia Ester na Limbeli walipenda wengine wote wafa maji waroho wa madaraka ndo kweli wenyewe kwanini baada ya kushindwa tuu?kwamba wao ndo wao pasipo wao uongozi haufai??kuweni macho nao hao wanaokuja baada ya kukatwa.
 
CHADEMA inarudia makosa ambayo yaliigalimu CCM kuanzia 2010 na kupoteza viti vingi. Tuache kuwapuuza wananchi. Tuheshimu maamuzi ya wananchi. Ni bora kurudia uchaguzi mshindi apatikane kwenye box la kura kuliko kumkata mtu ambae anaongoza kuwa na Kura nyingi kuliko wengine na kumpitisha mwenye kura chache. Tunawakasirisha na kuwakatisha tamaa waliopiga kura.

Sehem nyingi kumelalamikiwa, Haya mambo ya kuwa na wagombea mfukoni , ifike mahala ikome.
 
Namshauri akamalizie shule yake kwanza pale Udom,maana aliweka matarajio makubwa sana ya kua mbunge,ndio maaana Migomo UDOM ilikua haipungui....
 
Aliyekua kada wa CHADEMA Philipo Mwakibinga amejiunga na chama cha ACT Wazalendo baada ya kushindwa kwenye kura za maoni huko jimbo la Lupa-Chunya. Sasa Mwakibinga atagombea ubunge jimbo hilo kupitia chama cha ACT.

Kwa maoni yangu Mwakibinga amekosea. Najua ni haki yake kujiunga na chama chochote cha siasa, najua pia ni haki yake kugombea ubunge. Lakini si kwa namna alivyofanya.

Nilitegemea Mwakibinga kama ilivyo kwangu na vijana wengine wa CHADEMA waliotangaza nia lakini hawakupitishwa, angetulia na kukisaidia CHADEMA kuiondoa serikali dhalimu ya CCM madarakani. Lakini ameamua kuondoka ili akatimize azma yake ya ubunge nje ya CHADEMA.

Nilimsoma Mwakibinga kwny group moja akisema "Huu ndio muda sahihi wa yeye kuwatumikia wananchi kama mbunge". Bila shaka alikuwa sahihi kuwaza hivyo. Lakini lazima aelewe kuwa CCM kuondoka madarakani ni muhimu zaidi kuliko yeye kuwa mbunge.

So angetulia ashirikiane na mgombea wa CHADEMA aliyepitishwa jimbo la Lupa ili chama kishinde. Ushindi wa CHADEMA Jimbo la Lupa ungekua ushindi kwa Mwakibinga pia. Chadema hatugawani vyeo tunagawana majukumu. Si lazima wote tuwe viongozi mwaka huu.

Mbona Julius S. Mtatiro alipokosa fursa Segerea hakuonesha kukereka? Hata alipoulizwa alijibu kwa hekima kuwa atamuunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa Segerea. Hii kilikua kiwango cha juu zaidi cha "matured politics".

Ni vizuri vijana tukajiandaa kisaikolojia tunapoamua kugombea nafasi za kisiasa. Tunaweza kuamini sisi ni bora zaidi ya wengine, tuna uwezo zaidi ya wagombea wengine lakini lazima tuheshimu maamuzi ya wananchi. Wakimpitisha mtu mwingine tofauti na sisi tusikasirike. Tumpe ushirikiano ili mradi awe amepitishwa kwa haki.

Pia ni muhimu tuelewe kuwa nafasi za kisiasa si ajira. Tusitegemee kufanya siasa kama sehemu ya ajira yetu. Ni muhimu wagombea wawe na ajira zao au njia zao nyingine za kuwaingizia kipato wakati wanagombea. Ili wasipopata nafasi wasione ndio mwisho wa maisha. Wasije kudhani hamna maisha nje ya siasa.

By the way namtakia kila la heri Mwakibinga huko alikoenda. Namtakia heri ktk mbio zake za ubunge jimbo la Lupa kupitia ACT (japo hatashinda). Pia nimtake ajiandae kisaikolojia kupokea matokeo ya ushindi wa CHADEMA jioni ya tar.25 October.!

ALL THE BEST MWAKIBINGA. Mwanajeshi mmoja akifa vitani, sio mwisho wa mapigano. Vita vinaendelea. Umetuacha vitani, tutapambana hadi dakika ya mwisho kuhakikisha CCM inaondoka madarakani. VIVA CHADEMA, VIVA UKAWA.!

View attachment 278559

Haya maneno ilifaa umwambie Lowassa. Tena mwambie kwamba hatashinda urais.
 
nilishamtabiria rafiki yangu Mwakibinga tangu tulipoanza wote siasa pale UDOM 2010. hasira, maamuzi ya haraka na misimamo isiyopinda ndio changamoto kubwa inayomkabili huyu rafiki. kuna wakati hata kama tuna ndoto na malengo ya kuyapigania ni dhahiri ya kwamba subira ni kitu cha msingi sana. anyway binafsi nakutakia kila la kheri katika safari yako.
 
Kama kuna mtu ktk cdm alieongoza kwa kupigwa mabom na maji ya kuwasha ni huyu jamaa mwacheni achukie jamani!
 
Uyu mwakibinga sitak ata kumsikia kwa wale waliosoma udom mwaka 2011 wanamjua vzr,ilikuwa zmebk siku tatu tufanye mtihan wa mwisho lkn kwa tamaa zake tukatimuliwa chuo tukard uswahilin,then tulipordshwa tna ni mshke mshke hatar tupu,waliokuwa udom wakat huo watakumbka tu,kmbe mwenzetu alikuws na ajenda zake binafsi,nashukur niliona yy mwenyew mwakibinga anadai alifanikiwa kuchaguliwa kuwa mwenyekit wa cdm mkoa mbeya lkn mbowe akamkatalia akamwsmbia ana akili sana hawez kuwa mwenyekit bora makamu akakataa,mbowe kaona mbali ktk hlo
acha aende act kama kashndwa kujifunzs kwa mtatiro pia si mtu wa kujenga hoja isipokuwa ni mtu wa maneno maneno tu ya kuunga unga
 
tatizo lako umekariri.
akihama kutoka ccm kwenda chadema sawa!
akihama kutoka ACT kwenda chadema sawa. lakini isitokee kinyume chake.
ama kweli nyie ni nyumbu. tena nyumbu kweli kweli maana hata kufikiria hamuwezi.


Aliyekua kada wa CHADEMA Philipo Mwakibinga amejiunga na chama cha ACT Wazalendo baada ya kushindwa kwenye kura za maoni huko jimbo la Lupa-Chunya. Sasa Mwakibinga atagombea ubunge jimbo hilo kupitia chama cha ACT.

Kwa maoni yangu Mwakibinga amekosea. Najua ni haki yake kujiunga na chama chochote cha siasa, najua pia ni haki yake kugombea ubunge. Lakini si kwa namna alivyofanya.

Nilitegemea Mwakibinga kama ilivyo kwangu na vijana wengine wa CHADEMA waliotangaza nia lakini hawakupitishwa, angetulia na kukisaidia CHADEMA kuiondoa serikali dhalimu ya CCM madarakani. Lakini ameamua kuondoka ili akatimize azma yake ya ubunge nje ya CHADEMA.

Nilimsoma Mwakibinga kwny group moja akisema "Huu ndio muda sahihi wa yeye kuwatumikia wananchi kama mbunge". Bila shaka alikuwa sahihi kuwaza hivyo. Lakini lazima aelewe kuwa CCM kuondoka madarakani ni muhimu zaidi kuliko yeye kuwa mbunge.

So angetulia ashirikiane na mgombea wa CHADEMA aliyepitishwa jimbo la Lupa ili chama kishinde. Ushindi wa CHADEMA Jimbo la Lupa ungekua ushindi kwa Mwakibinga pia. Chadema hatugawani vyeo tunagawana majukumu. Si lazima wote tuwe viongozi mwaka huu.

Mbona Julius S. Mtatiro alipokosa fursa Segerea hakuonesha kukereka? Hata alipoulizwa alijibu kwa hekima kuwa atamuunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa Segerea. Hii kilikua kiwango cha juu zaidi cha "matured politics".

Ni vizuri vijana tukajiandaa kisaikolojia tunapoamua kugombea nafasi za kisiasa. Tunaweza kuamini sisi ni bora zaidi ya wengine, tuna uwezo zaidi ya wagombea wengine lakini lazima tuheshimu maamuzi ya wananchi. Wakimpitisha mtu mwingine tofauti na sisi tusikasirike. Tumpe ushirikiano ili mradi awe amepitishwa kwa haki.

Pia ni muhimu tuelewe kuwa nafasi za kisiasa si ajira. Tusitegemee kufanya siasa kama sehemu ya ajira yetu. Ni muhimu wagombea wawe na ajira zao au njia zao nyingine za kuwaingizia kipato wakati wanagombea. Ili wasipopata nafasi wasione ndio mwisho wa maisha. Wasije kudhani hamna maisha nje ya siasa.

By the way namtakia kila la heri Mwakibinga huko alikoenda. Namtakia heri ktk mbio zake za ubunge jimbo la Lupa kupitia ACT (japo hatashinda). Pia nimtake ajiandae kisaikolojia kupokea matokeo ya ushindi wa CHADEMA jioni ya tar.25 October.!

ALL THE BEST MWAKIBINGA. Mwanajeshi mmoja akifa vitani, sio mwisho wa mapigano. Vita vinaendelea. Umetuacha vitani, tutapambana hadi dakika ya mwisho kuhakikisha CCM inaondoka madarakani. VIVA CHADEMA, VIVA UKAWA.!

View attachment 278559
 
Kwa hiyo hata akina Said Mkumba, Hamisi Mgeja, Mgana Msindai, Esther Bulaya, James Lembeli, Makongoro Mahanga, Ole Telele na wengineo wamekosea?


hapana hao wako sahihi kujiunga na jeshi la ukombozi sio makosa,kuwa mamluki ndio kosa
 
Mwakibingwa, watu wakimbadili jina usiku wa ushindi UDOM pamoja na vikwazo vingi vya uchaguzi, nilimjua 2007 na jamaa akisema A kuibadili hio inahitajika kazi ya ziada, napenda sana anavyojengea hoja anachokiamini. All the best popote atapokuwa.
 
Aliyekua kada wa CHADEMA Philipo Mwakibinga amejiunga na chama cha ACT Wazalendo baada ya kushindwa kwenye kura za maoni huko jimbo la Lupa-Chunya. Sasa Mwakibinga atagombea ubunge jimbo hilo kupitia chama cha ACT.

Kwa maoni yangu Mwakibinga amekosea. Najua ni haki yake kujiunga na chama chochote cha siasa, najua pia ni haki yake kugombea ubunge. Lakini si kwa namna alivyofanya.

Nilitegemea Mwakibinga kama ilivyo kwangu na vijana wengine wa CHADEMA waliotangaza nia lakini hawakupitishwa, angetulia na kukisaidia CHADEMA kuiondoa serikali dhalimu ya CCM madarakani. Lakini ameamua kuondoka ili akatimize azma yake ya ubunge nje ya CHADEMA.

Nilimsoma Mwakibinga kwny group moja akisema "Huu ndio muda sahihi wa yeye kuwatumikia wananchi kama mbunge". Bila shaka alikuwa sahihi kuwaza hivyo. Lakini lazima aelewe kuwa CCM kuondoka madarakani ni muhimu zaidi kuliko yeye kuwa mbunge.

So angetulia ashirikiane na mgombea wa CHADEMA aliyepitishwa jimbo la Lupa ili chama kishinde. Ushindi wa CHADEMA Jimbo la Lupa ungekua ushindi kwa Mwakibinga pia. Chadema hatugawani vyeo tunagawana majukumu. Si lazima wote tuwe viongozi mwaka huu.

Mbona Julius S. Mtatiro alipokosa fursa Segerea hakuonesha kukereka? Hata alipoulizwa alijibu kwa hekima kuwa atamuunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa Segerea. Hii kilikua kiwango cha juu zaidi cha "matured politics".

Ni vizuri vijana tukajiandaa kisaikolojia tunapoamua kugombea nafasi za kisiasa. Tunaweza kuamini sisi ni bora zaidi ya wengine, tuna uwezo zaidi ya wagombea wengine lakini lazima tuheshimu maamuzi ya wananchi. Wakimpitisha mtu mwingine tofauti na sisi tusikasirike. Tumpe ushirikiano ili mradi awe amepitishwa kwa haki.

Pia ni muhimu tuelewe kuwa nafasi za kisiasa si ajira. Tusitegemee kufanya siasa kama sehemu ya ajira yetu. Ni muhimu wagombea wawe na ajira zao au njia zao nyingine za kuwaingizia kipato wakati wanagombea. Ili wasipopata nafasi wasione ndio mwisho wa maisha. Wasije kudhani hamna maisha nje ya siasa.

By the way namtakia kila la heri Mwakibinga huko alikoenda. Namtakia heri ktk mbio zake za ubunge jimbo la Lupa kupitia ACT (japo hatashinda). Pia nimtake ajiandae kisaikolojia kupokea matokeo ya ushindi wa CHADEMA jioni ya tar.25 October.!

ALL THE BEST MWAKIBINGA. Mwanajeshi mmoja akifa vitani, sio mwisho wa mapigano. Vita vinaendelea. Umetuacha vitani, tutapambana hadi dakika ya mwisho kuhakikisha CCM inaondoka madarakani. VIVA CHADEMA, VIVA UKAWA.!

View attachment 278559


MTATIRO KACHUKUA FORM MKUU

NIMECHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE WA SEGEREA:
Ndugu zangu, leo chama changu kimenipa ridhaa na barua rasmi ili nigombee ubunge kwa tiketi ya UKAWA, nmetoka kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Segerea.
Natumaini kuwa tutaanza kwa nguvu na kumaliza kwa ushindi. Nawaahidi kuwa nitaunganisha vyama vya CUF, CHADEMA, NCCR na NLD kushirikiana na wananchi wa Segerea kupata madiwani wa kata zote 13.
Historia yangu imekuwa ya mapambano ya kudai haki za wanyonge, ntaendelea hivyo hadi mwisho wa pumzi za uhai wangu.
Nimeishi Segerea kwa miaka 12, nina uzoefu wa kutosha na changamoto za wananchi wa Segerea na nimeziishi na sasa nahitaji kuungwa mkono nishirikiane na wanachi kuzitatua na kuwapigania.
Mungu Yuko Upande Wetu.
J. Mtatiro,
19. 08. 2015?
Dar Es Salaam




Kuhama chama ni haki yake na ni maamuzi yake binafsi kwako anaweza kua amekosea ila kwakwe ndo maamuzi sahihi
 
MOTOCHINI pokea mgeni wenu huyo kiroho safi.Sisi ukawa mtu akijitoa kwetu na kuja kwenu kiroho safi hatumuiti oil chafu bali tunamuombea heri kwenye safari yake.
Hahaha wewe nduguyangu unajua kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa hivi kinanani wanaongoza kwa kupeana majina! acha utanibwana
 
Last edited by a moderator:
mwakibinga njaa tuuu....alitoa matamko akijipambanua wazi kumuunga mkono nshindi leo yuleeeeee
 
mwakibinga njaa tuuu....alitoa matamko akijipambanua wazi kumuunga mkono nshindi leo yuleeeeee
Amefanya hivyo baada ya mshindi aliyemuunga mkono kuenguliwa na CC ya CHADEMA na nafasi hiyo kupewa NJELU KASASA ambaye alishindwa kwenye kura za maoni...
 
Back
Top Bottom