Philemon Luhanjo wa Ikulu naye fisadi?

Philemon Luhanjo wa Ikulu naye fisadi?

Baseless accusations zilizojazwa na chuki binafsi za ubaguzi ubaguzi. This clearly shows kuna mikakati mikubwa ambayo imekuwa ikisukwa to fix the poor old man. Mshindwe na mlegee.
Na Mzee wa watu afadhali hata ametoka Iringa, angetoka Kilimanjaro basi tusingesikia mwisho wake.
How many people from Iringa are in government? Is the NHC DG from Iringa? Even if he is, is he a slacker or fisadi?
I am so certain huyu mzee amezua ufisadi wa ukweli and it is payback time. You can't even try to offer him 10%.

Kwa nini JK anamwongezea tu miezi na asimwachie kupumzika?

Ndio haya haya magazeti yalichafua Dr. Salim wa watu na oneni tulipo sasa.
Siamini kinachoandikwa magazetini at a 100%.
Therefore, as GT says, Time Will Tell!

In the meantime,I dare anyone of you to list ufisadi wa huyu mzee.
 
Mchunguzi bila shaka unumwa ukabilia. Kwanza: Aliyekuwa anakaimu nafasi ile ya Mkurugenzi wa Mazingira alikuwa wa kabila lako na aliwahi kufanya kazi wizara ya kilimo kama ilivyo kwa mkurugenzi wa sasa hivi. Naomba ufanye uchunguzi wako vizuri, kufanya kazi wizara ya kilimo haina maana wewe taaluma yako ni ya kilimo. Mkurugenzi wa wa mazingira wa sasa hivi ana shahada ya uzamivu (PhD) ya mzaingira kutoka Hispania. Pili si kweli lwamba Mkurugenzi wa sasa hivi anatoka Iringa, yeye anatoka wilaya ya kyela mkaoani Mbeya
 
huyu ni walewale Luhanjo.... tu... haina mana kuwa na maela kibayo hayakusaidii.... adhabu yao iko mbinguni...
 
Baseless accusations zilizojazwa na chuki binafsi za ubaguzi ubaguzi. This clearly shows kuna mikakati mikubwa ambayo imekuwa ikisukwa to fix the poor old man. Mshindwe na mlegee.<br />
Na Mzee wa watu afadhali hata ametoka Iringa, angetoka Kilimanjaro basi tusingesikia mwisho wake.<br />
How many people from Iringa are in government? Is the NHC DG from Iringa? Even if he is, is he a slacker or fisadi? <br />
I am so certain huyu mzee amezua ufisadi wa ukweli and it is payback time. You can't even try to offer him 10%.<br />
<br />
Kwa nini JK anamwongezea tu miezi na asimwachie kupumzika? <br />
<br />
Ndio haya haya magazeti yalichafua Dr. Salim wa watu na oneni tulipo sasa.<br />
Siamini kinachoandikwa magazetini at a 100%.<br />
Therefore, as GT says, Time Will Tell!<br />
<br />
In the meantime,I dare anyone of you to list ufisadi wa huyu mzee.
<br />
<br />
to go against ur duty is UFISADI....? Kuvamia majukumu ya wengine na kutoa maamuzi ni UFISADI.......? Sasa kwa nini luhanjo aclaumiwe eeeeh...!
 
mwaka huo huo ilisemwa ya JAIRO lakini hatukutaja kuskia

nadhaini inatwa DAVID JAIRO WA IKULU the rest is history
 
Una ushaidi gani?
Usipende kugeneralize
Wasafi wapo wengi sana

Dear Mkuu Rejeo sijawahi kusema lolote kuhususu comments zako zozote.most likely hii nilikuwa sijaiona simply b'couse I was not aware of this F'C sheet .lakini hii imeniuma bro.Tafadhali angalia watu wanavyohangaika .
 
Eye 4 an Eye!

Huyu babu Luhanjo lakini ni mzigo kwa sirikali ya JK ni m2 ambaye amekuwa anapotosha mfumo mzima wa utendaji wa sirikali na ni kweli ajira nyingi haswa post za juu huyu kiumbe amekuwa mwiba kwa wavimba macho mfano mama nyoni kutoka Hazina kama AG na kupelekwa kuwa Katibu Mkuu malia asili baada ya kumtoa Alhaji Pamba kwa kumtegenezea kashfa nzito ambapo JK akamsimamisha kazi Pamba lakini JK alijilaumu sana jinsi aliyochemsha kumtoa ukatibu mkuu katika ya aibu. Mh. Pamba sasa ni Mbunge.

Lakini JK nafikiri kwa huyu babu Luhanjo hana nyimbo yaani hafui dafu lakini tume iliyoundwa juu ya Jairo ita-recommend Babu aende akalime.
 
Mama sijaona alipata ubalozi baada ya kustaafu kwa sababu ya ufisadi wa viwanja wa luhanjo . Mambo ya ghadafi yatawakuta
 
huyu mzee si anastaafu mwaka huu..mrithi wake ikikuwa awe Bw Jairo
 
Baseless accusations zilizojazwa na chuki binafsi za ubaguzi ubaguzi. This clearly shows kuna mikakati mikubwa ambayo imekuwa ikisukwa to fix the poor old man. Mshindwe na mlegee.
Na Mzee wa watu afadhali hata ametoka Iringa, angetoka Kilimanjaro basi tusingesikia mwisho wake.
How many people from Iringa are in government? Is the NHC DG from Iringa? Even if he is, is he a slacker or fisadi?
I am so certain huyu mzee amezua ufisadi wa ukweli and it is payback time. You can't even try to offer him 10%.

Kwa nini JK anamwongezea tu miezi na asimwachie kupumzika?

Ndio haya haya magazeti yalichafua Dr. Salim wa watu na oneni tulipo sasa.
Siamini kinachoandikwa magazetini at a 100%.
Therefore, as GT says, Time Will Tell!

In the meantime,I dare anyone of you to list ufisadi wa huyu mzee.
Aibu yako........pole sana.
 
huyu mzee si anastaafu mwaka huu..mrithi wake ikikuwa awe Bw Jairo
Kinachoniuma ni kwamba........Jairo na Luhanjo wata-retire .....early retirement.
kama kilichotokea kwa akina Mgonja. Kikwete hawezi kuwafanya chochote, hawezi kuwafukuza.
Hiyo ndo system ya CCM na serikali yake.
 
Kinachoniuma ni kwamba........Jairo na Luhanjo wata-retire .....early retirement.
kama kilichotokea kwa akina Mgonja. Kikwete hawezi kuwafanya chochote, hawezi kuwafukuza.
Hiyo ndo system ya CCM na serikali yake.
Hawa walifaa hata kabla hawajastaafu wachukuliwe hatua lakini kwa Serikali hii ya kisela ambayo mambo yake ni kisela ni dhahiri kuwa watapeta Kisela tu hadi muda utafika kustaafu hao kimya kimya na JK naye hautosikia akitamka lolote lile
 
GT.. Your claim is based on nothing up to this point. Yani hujaongea kitu. Bila any substantial accusation and/or evidence to support your claim unapaka mtu matope. What's worse, your claim is hollow at this point maana ata haieleweki!! One might say that you claim that the guy ni fisadi na mkabila but also the same person might say ur claim is that anamkaribia MGONJA. Or are we to assume that the latter is the evidence for the former. Get serious dude!
Haya Kinyambiss say it again sasa this time....
 
Kuchafuana kweli kupo.

Nikirudi kuwa POSITIVE kama jina langu lilivyo, HIVI KWELI HAKUNA MTANZANIA MWENYE UWEZO WA KUONGOZA hicho kitengo cha mzee mpaka ameshastaafu bado anakuwa recycled? wapo wazee wangapi wanaofanya kazi kwa staili hiyo kisha tunasema kuna tatizo la ajira.

Mengine simo, ila napinga mfumo wa kuwapa contracts wastaafu. Vijana wapo na wanaweza.
 
Sasa GT umejianika mwenyewe kumbe kazi yako kubwa ni kumtetea Jakaya hata kama anafanya madudu mpaka kichwa kinakuuma! Kusema kweli wewe ni muongo mkubwa kwani ukweli ni kwamba humtetei Jakaya bali unatetea udini wako.

Na umeanza kumpaka matope Luhanjo kwa misingi hiyo hiyo ukitegemea wakina January watakusaidia kupitisha umbea wako kwa Jakaya ili Luhanjo aondolewe awekwe mjomba wako Hamisi au Juma pale Ikulu!! Spin zako zimekwisha ng'amuliwa kwa hiyo acha hizo.

Kumbee Luhanjo alikuwa anapakwa matopeee?
 
Back
Top Bottom