Philemon Luhanjo wa Ikulu naye fisadi?

Philemon Luhanjo wa Ikulu naye fisadi?

The bottom line: CCM na wapinzania hawawezi kufanana.

They may not be equal, but they are similar!!!


Tuna vigezo vya kuwapima CCM maana tumewakabidhi zana (dola) ya kufanyia kazi for the past 40+ years na wameshindwa.
Hili la kweli kabisa na mimi nakubaliana na wewe 95%,,, lakini kushindwa kwao sio Justification ya kwamba Akina Kitila, Mnyika, Zitto, Dr, Slaa, Mbowe & Team wanaweza!!!

Hatuna haki ya kuwahukumu wapinzani katika hili maana hatujawahi kuwapa nafasi tukawaona.
Hicho ndio kichaka mnachojifichia!!! Lakini wengine tunaona,,, kwani kwenda kujenga kisima cha maji cha milioni mbili mpaka ushike nchi... ni muda gani mnajidili hoja hapa JF badala ya kwenda kwa wananchi wenye shida... hivi mnafikiri waliopo hapa JF wanashida za kusaidiwa kama bibi, babu, wadogo zetu walioko vijijini?

Sasa tusilazimishe hoja kwa kupachika uongo hapa na pale; tutakuwa tunawaonea wapinzani na kujionea sisi pia!
Nakuunga mkono kabisa,,, lakini hii inatakiwa iapply sehemu zote, kwani tetesi nyingi mnazoweka hapa, na wahusika wala hawapo, wala hawana nafasi ya kujitetea na ninyi mnaconclude kwamba ni hivyo... mnaona sawa eeeh!!!
 
Kwa kuendeleza ile definition yetu ya Ufisadi nadhani kuingilia zoezi la ajira serikalini kinyume na sheria ni Ufisadi...

1215006746_luhanjo_jarambaweb.jpg


Kwanza kwa jinsi alivyoingilia issue ya ile post mpya ya DG wa National Housing watu hawakuamini lakini sasa hivi inasemekana kuwa amekuwa hashikiku na anaweka kuwa anamkaribia GREY MGONJA. Sasa lawama zinazidi kuwa ni Mkabila wa kutisha na ukichanganya na elements za Kifisadi ndio basi tena

Maana mtu unakaa unamtetea JK weee lakini kila ukitazama walio mzunguka kichwa shurti kikuume.

Kuwa na Katibu Mkuu kama huyu ni sawa na kujaza maji kwenye gunia maana the man is just useless kwenye calibre ya Salva et al
 
GT.. Your claim is based on nothing up to this point. Yani hujaongea kitu. Bila any substantial accusation and/or evidence to support your claim unapaka mtu matope. What's worse, your claim is hollow at this point maana ata haieleweki!! One might say that you claim that the guy ni fisadi na mkabila but also the same person might say ur claim is that anamkaribia MGONJA. Or are we to assume that the latter is the evidence for the former. Get serious dude!
 
GT.. Your claim is based on nothing up to this point. Yani hujaongea kitu. Bila any substantial accusation and/or evidence to support your claim unapaka mtu matope. What's worse, your claim is hollow at this point maana ata haieleweki!! One might say that you claim that the guy ni fisadi na mkabila but also the same person might say ur claim is that anamkaribia MGONJA. Or are we to assume that the latter is the evidence for the former. Get serious dude!

This being JF usipate taabu wewe stay tuned...
 
GT kwa maelezo yako hayo bila support yeyote mtu akikugeuzia kibao kwamba unasumbuliwa na udini na ukabila utakataa?
 
kwa kuendeleza ile definition yetu ya Ufisadi nadhani kuingilia zoezi la ajira serikalini kinyume na sheria ni Ufisadi...


1215006746_luhanjo_jarambaweb.jpg


Kwanza kwa jinsi alivyooingilia issue ya ile post mpya ya DG wa National Housing watu hawakuamini lakini sasa hivi inasemekana kuwa amekuwa hashikiku na anaweka kuwa anamkaribia GREY MGONJA. Sasa lawama zinazidi kuwa ni Mkabila wa kutisha na ukichanganya na elements za Kifisadi ndio bas tena

Maana mtu unakaa unamtetea JK weee lakini kila ukitazama walio mzunguka kichwa shurti kikuume.

Kuwa na Katibu Mkuu kama huyu ni sawa na kujaza maji kwenye gunia maana the man is just useless kwenye calibre ya Salva et al

Sasa GT umejianika mwenyewe kumbe kazi yako kubwa ni kumtetea Jakaya hata kama anafanya madudu mpaka kichwa kinakuuma! Kusema kweli wewe ni muongo mkubwa kwani ukweli ni kwamba humtetei Jakaya bali unatetea udini wako.

Na umeanza kumpaka matope Luhanjo kwa misingi hiyo hiyo ukitegemea wakina January watakusaidia kupitisha umbea wako kwa Jakaya ili Luhanjo aondolewe awekwe mjomba wako Hamisi au Juma pale Ikulu!! Spin zako zimekwisha ng'amuliwa kwa hiyo acha hizo.
 
Admin na Mods...hii thread ililetwa hapa tangu 2009 n a utabiri umetimia...naomba irejeshwe SIASA na iwe uthibitisha kuwa JF huwa hatubahatishi
 
Sasa GT umejianika mwenyewe kumbe kazi yako kubwa ni kumtetea Jakaya hata kama anafanya madudu mpaka kichwa kinakuuma! Kusema kweli wewe ni muongo mkubwa kwani ukweli ni kwamba humtetei Jakaya bali unatetea udini wako; na umeanza kumpaka matope Luhanjo kwa misingi hiyo hiyo ukitegemea wakina January watakusaidia kupitisha umbea wako kwa Jakaya ili Luhanjo aondolewe awekwe mjomba wako Hamisi au Juma pale Ikulu!! Spin zako zimekwisha ng'amuliwa kwa hiyo acha hizo.

bado tuu mnamtaka babu yenu Ikulu?
 
GT.. Your claim is based on nothing up to this point. Yani hujaongea kitu. Bila any substantial accusation and/or evidence to support your claim unapaka mtu matope. What's worse, your claim is hollow at this point maana ata haieleweki!! One might say that you claim that the guy ni fisadi na mkabila but also the same person might say ur claim is that anamkaribia MGONJA. Or are we to assume that the latter is the evidence for the former. Get serious dude!

17th October 2009

thats when the thread was posted

I guess time only tells
 
Kweli jf nimeikubali! Kuingilia kazi ya mtu hadi ukabila!
 
GT.. Your claim is based on nothing up to this point. Yani hujaongea kitu. Bila any substantial accusation and/or evidence to support your claim unapaka mtu matope. What's worse, your claim is hollow at this point maana ata haieleweki!! One might say that you claim that the guy ni fisadi na mkabila but also the same person might say ur claim is that anamkaribia MGONJA. Or are we to assume that the latter is the evidence for the former. Get serious dude!

Sasa kinyambiss kuhusu luhanjo kama wewe ni mtanzania ambaye huko current hakuna haja ya kujaza thread to write uozo wa luhanjo....... Kama we ni great thinker na huko aware hakuna haja ya kumpinga GT go and read the source of news like magazine halafu umpinge bro....
 
Kwa kuendeleza ile definition yetu ya Ufisadi nadhani kuingilia zoezi la ajira serikalini kinyume na sheria ni Ufisadi...

1215006746_luhanjo_jarambaweb.jpg


Kwanza kwa jinsi alivyoingilia issue ya ile post mpya ya DG wa National Housing watu hawakuamini lakini sasa hivi inasemekana kuwa amekuwa hashikiku na anaweka kuwa anamkaribia GREY MGONJA. Sasa lawama zinazidi kuwa ni Mkabila wa kutisha na ukichanganya na elements za Kifisadi ndio basi tena

Maana mtu unakaa unamtetea JK weee lakini kila ukitazama walio mzunguka kichwa shurti kikuume.

Kuwa na Katibu Mkuu kama huyu ni sawa na kujaza maji kwenye gunia maana the man is just useless kwenye calibre ya Salva et al

Tuamini tu kwamba aliyempa madaraka kama hayo ndo ana tatizo kubwa. Luhanjo haonyeshi kabisa kwamba ana elimu ya kumuwezesha kushika nafasi kama hiyo. Hawezi hata kupangilia maneno mbele ya waandishi. Nafasi yake ni muhiumu lakini bahati mbaya inashikiliwa na mtu mfu.

Ukabila kwake limekuwa ni jambo muhimu kabisa. Hakuishia NHC. Angalia mtu aliyewekwa kuwa Mkurugenzi wa Mazingira. elimu yake ya mazingira ni duni, tena ni mtu wa kilimo lakini kwa sifa ya kutoka Iringa, ikatosha kushika nafasi kama hiyo.

*
 
Back
Top Bottom