PhD ya Magufuli na wanasiasa wengine zichunguzwe upya!

watu wa CCM kampeni za urais za kuchafuana msilete hapa....mwaka 2015 huko ccm mtu pekee mwenye ubavu wa kusimama na CHADEMA ni dr magufuli....mkilogwa mkimsimamisha mgombea mwingine zaid ya huyo mjuwe CHADEMA watachukuwa nchi.........
Magufuli endelea kuchapa kazi ......wenye degree za bure na za chupi hamuwaoni?

We ndio bado upo kwenye Usingizi, endelea kulala ukiamka utajua.

Hamna mtu msafi CCM hata mmoja
 
Unalosema ndugu yangu ni la msingi. Ila kama wamedesign plan mpya itakayo kuwa na tija, na wakaangalia jinsi ya kuyakwepa majengo mengine (kama la TANESCO) ikashindikana, basi kuvunja ni moja ya suluhisho. Uvunjaji wa majengo kupishanjia siyo kitu kipya hasa kwa nchi za dunia ya pili, Shanghai unayoiona leo imevunjwa majengo kibao miaka ya 1995 - 2003. Ila naona Mtoto wa Mkulima Pinda amekusikia na kasimamisha ubomoaji wa kupisha njia. But I am not a Civil Eng. by the way

We una-unajua unachoonga siyo kama huto engineer wako Wab.; Wao wanaongea blinldy juu ya ubomoaji huu kama ni swala la kisiasa wakati ni swala la kitaalam, nimesema wananchni wataarifiwe kwanini nyumba zao lazima zibomolewa, kwanini haiepukiki, Pia tujue wakati wanajenga hapo wahusika walikuwa wapi?
 
Felister unachosema ni kweli kabisa, India ni mfano mzuri wa barabara nyembamba na ina accomodate watu wengi sana, nchi nyingi za Asia, North America na baadhi ya miji ya kawaida Europe ya zamani wanaishi ki-hivyo

Tatizo la DSM ni kuwa plan za mji ziliishachakachuliwa kuanzia siku nyingi sana

Just Imagine barabara kuu za kwenda city centre zinahesabika, za ni kama nne tu! Morogoro road, bagamoyo, Nyerere na mbagala! nne tu!

Katika hizo Morogoro ndio ina connect na mikoa mingine( yaani moja) japo mpango ni kubadili watumie bagamoyo road na in future kuhamisha hata stendi ya mkoa iende Bunju at least will solve problem ya foleni in town

Feeder roads nyingi sana hazifai kupitisha magari, Ukiwa eneo la jangwani mathalani njia pekee ya kutoka pale ni morogoro road au ushuke kule jangwani ukaitafute kigogo.

My take is that hakuna HAJA YA KUVUNJA JENGO mfano ubungo kama na kama tu kuna kuwa na barabara nyingi za kwenda mjini na kurudi..una option nyingi hapa kuna mawili

1.Barabara pana ya kubeba magari mengi
2.Barabara nyingi lakini nyembamba za kubeba magari kwa kadiri ya uwezo wake

Option ya kwanza inaleta hasara kidogo na ni affordable kwani uvunjivu wa majengo ni kidogo

Option ya pili ni disaster pamoja na watu wengi kuathirika kwa kubomolewa lakini ni gharama kwa serikali kujenga njia mpya

Option ya kwanza inaonekana angalau italeta hasara KIDOGO ILA HAITATATUA SANA TATIZO LA FOLENI kutokana na kasi ya mji kukua bado hazitatosha-No temporary relief!. Plan ni kuhamisha mji, na kuhamasisha wawekezaji kuwekeza nje ya mji wa DSM, just imagine Mlimani City ingekuwa posta....!! just see hoe Sam Nujoma road matches with Mlimani City. Think if another mlimani city-like willlbe somewhere in tegeta, au kimara mwisho au mbagala! etc!

Barabara nyingi kwa mfano India zina flyover fulani za kisanii lakini ziko worth na zinapiga kazi vizuri, ujenzi wa flyover in DSM lazima uta attract ubomoaji na hasa kwenye junctions etc. Ukipiga picha miaka 50 ijayo utaona bado BARABARA hazitoshi kama mji usipohama hapo ulipo! The case is serious in NAIROBI..kuwahi airport lazima uanze safari masaa matatu kabla! hii ni mbaya! hatujaifikia bado nairobi ila tunaenda huko hali ni mbaya, LEO HII NAIROBI WANATAKA KUHAMISHA MJI WAO , kama ilivyo Abuja from Lagos , cha ajabu Nigeria na Kenya wote wanajifunza Tanzania jinsi ya kuhamisha serikali!

Solution in future city ni kujenga subways ambazo ni superior kuliko flyovessr, subway zinapitisha magari, datacables, umeme na sewage system. Ujenzi wa subway kwa DSM ni ndoto kulinganisha na gharama zake.

Kama anavyolalamika Arafat, plan ya mji ilikosewa na siasa ziliingilia kati, at least now we have seen people who think beyond tomorrow! kosa ni kuleta tena siasa hata wakati huu maan tukubali mji wa DSM hauna plan, master plan ilitayarishwa miaka ya 60 na haiku-focus haya mabadiliko. Ukiwauliza serikali wanasema HAUKUTARAJIWA DSM KUWA MJI MKUBWA, WALIFIKIRI TANGA NDIO KUWA KUBWA KULIKO DSM! hata hivyo still hakuna plan za kueleweka kwani professionals watu wa Urban and Rural planners wamekuwa wakiingiliwa na wanasiasa day an night.

Je tunazo barabara nyingi nyembamba??

Lingine linaloweza kusaidia kutopanuliwa kwa barabara ni matumizi ya bahari kwa wanaotoka tegeta na matumizi ya reli ambazo zinawezwa kujengwa kandokando ya barabara, can we do that? do we have leaders that think beyond that? hatuna!

Mfano Sheikh Zayed Road in Dubai ilikuwa planned mwaka 1932, imekamilika mwaka 1980 since then sio rahisi kupanuliwa kwani ilikuwa planned long ago na sasa inatimiza plan zao! sisi HATUNA hizo barabara DSM haikutarajiwa kuwa hivi , kinachofanywa ni zimamoto ambayo ina mazuri na mabaya.

Sheikh_Zayed_Road_04.jpg
Hii ni dubai....how to reach in stage like this?

My take hakuna solution ya kuondoa foleni au kuboresha barabara ambayo haitaendana na kuvunja majengo

Kubali kuwa hujui tena swala la foleni ndio hujui kabisa, ukisha ona swala la kitaalam mtu anatafuta majibu kwenye wikipeedia ujue kuna tatizo kwenye Ubongo wake
 
Ahsante kwa maelezo mazuri, unajua watu wengine wanakuja hapa na chuki zao binafsi bila ya kuwa na uchunguzi wowote.
Magufuri ni kiboko wala huwa habahatishi.
Kuhusu Magufuli nitakujibu kwa ufahamu wangu..
Si kweli kusema jamaa hakuingia maabara ya Chemistry pale chuo... Kwa taarifa yako Magufuli ni maarufu sana pale chuoni kwa kuwa alikuwa akila RB na wanafunzi wengine muda wa mchana akitokea Lab. Pia Magufuli amesoma PhD yake kama wanafunzi wengine akifanya ishu za kiunafunzi kama Discussions na walimu wake, kuingia maabara, kula Cafeteria zaidi cafe 1 pale, kuongea stori za kiunafunzi na wenzie wa Phd na wengine wa Masters... Wengi walikuwa wakishangaa saana 2008/10 kumuona Mhe. John mkali wa kumbukumbu.. Sio utani kumuona bungeni yuko vile njoo uulizie pale UDSM uwezo wa Magufuli utawambiwa... Jamaa habahatishi kabisa akili kumkichwa...
Lakini haishii hapo tuu angalia CV zake form 4 na six na degree ya kwanza alaipata class gani...!!!

ANGALIZO:
Kabla hujaandika upuuzi au malighafi(unreseached data) tafadhali fanya uchunguzi kwanza.

BIG UP TO MAGUFULI
HE WILL MOVE TO CHADEMA IF CCM DENIES HIM TO BECOME THE NEW PRESIDENT OF THIS COUNTRY!!

PEOPLE'S POWER
 
Hii thread haikuwa na haja ya kumtaja Dr. Pombe maana hujaonyesha PhD yake ni feki kivipi!
Lakini pia wangapi wenu wenye kujivunia madigrii mmeyapata kwa kudesa, ni kwa vile hamjakuwa public figures.
No wonder baadhi yenu huku maofisini hamfikii performance ya kina Kayumba kama sisi wenye street education.

Kama umeelimika ungekuja na facts za Prof nani alimsimamia Bw. Pombe, muda aliotumia kupata PhD yake n.k.

Kama PhD ya mr. Pombe ni feki tutamtafutia ya bure huku street Uni, mbona mkuu wa nchi anazo 4 za kupewa.

Hapo kwenye red umenimaliza kabisa..duh kweli JF ni kiboko
 
Sanity must be instilled. Kama hilo jengo la TANESCO limejengwa kwenye road reserve lipigwe chini bila kujali kama lilipojengwa wahusika waliliona au la! Two wrongs do not make one right! Nchi hii mkiona mtu anjaribu kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa mnaanza kumchimba. Nyie wachimbeni wale waliovunja maghorofa ya Masaki kwa sababu tu yanazuia upepo kuwafikia kwenye nyumba zao!

Ahsante sana kwa mchango wako mkuu, kwa nchi kama hii watu inaonekana hawahitaji maabadiriko kabisa.Wanataka kuhalalisha tu kila kitu eti sababu tayari kimekuwepo bila ya kuangalia faida za miaka na vizazi vijavyo.Na kweli watamchimba jamaa wa watu hadi wanamkoma ,hizi zinaweza kuwa ni mbio za kuelekea 2015, naona kuna joto kubwa sana humo ndani ya CCM maana wote hawaaminiani na hawajui nani atachukua bendera kuperusha.Yetu macho.
 
Waberoya,through your post I have come to realise that you are so humble person I have ever seen.
Thanks for your contribution.
Mkuu umeni-PM kuwa nije kujibu hoja, nikafungua haraka niione hiyo hoja. I though this is a place to gain knowledge after I perused your post I have seen some assignments which you have given me and that truly stops me to discuss with you genius

1. My all posts will be rubbish
2. I am ignorant though I am Civil engineer
3. I have to go to school of economics first

However out of my my rubbish and ignorances I may have this inputs which are facts and possibly may help you if you want! WATU HAWATUMII BARABARA KWA KWENDA KAZINI TU! isichekeshe watu!

Try to read this:

Transportation concerns the movement of products from a source—such as a plant, factory, or work-shop—to a destination—such as a warehouse, customer, or retail store. Transportation may take place via air, water, rail, road, pipeline, or cable routes, using planes, boats, trains, trucks, and telecommunications equipment as the means of transportation. The goal for any business owner is to minimize transportation costs while also meeting demand for products. Transportation costs generally depend upon the distance between the source and the destination, the means of transportation chosen, and the size and quantity of the product to be shipped. In many cases, there are several sources and many destinations for the same product, which adds a significant level of complexity to the problem of minimizing transportation costs. For examples, the United States boasts the world's largest and most complex transportation system, with four million miles worth of roads, a railroad network that could circle the earth almost seven times if laid out in a straight line, and enough oil and gas lines to circle the globe 56 times.
The decisions a business owner must make regarding transportation of products are closely related to a number of other distribution issues. For example, the accessibility of suitable means of transportation factors into decisions regarding where best to locate a business or facility. The means of transportation chosen will also affect decisions regarding the form of packing used for products and the size or frequency of shipments made. Although transportation costs may be reduced by sending larger shipments less frequently, it is also necessary to consider the costs of holding extra inventory. The interrelationship of these decisions means that successful planning and scheduling can help business owners to save on transportation costs


Read more: Transportation - advantage, Basic means of transportation Transportation - advantage, Basic means of transportation



Hiyo ni kipande tu ukitaka hesabu nitaenda shule na nitakumwagia hapahapa ila tu itategemea kama response yako ya matusi itapungua ukiendeleza MATUSI basi chukua ushindi! maana mpaka unani-PM ni kuwa unataka sana ligi wengine hatuko hivyo 'tunachema' tunachokijua na kamwe hutakuta NGUVU NDANI YA HOJA!!! rubbish, ignorance nenda shule...why are you using these words?? kua kidogo tu mkuu usijiabishe tena!

Mtaalamu wa uchumi ebu tusaidie miaka 50 ijayo you will still need the building there! au an art of vision does is not applicable to you!



Let me go to school first!
 
Thanks for your post, I did not know that I blewed! untile you said so

Kindly answer me the following questions

1. What is PhD
2. Who and where is written that PhD must be minimu of three years and is this standard world wide?
3. Is there any where in this planet people do take PhD in less than three years? where and why?
4. Where does PhD starts in conceived idea? or the monet you register officially in PhD?
5. Is it necessary that all who invent things should be awarded PhDs?
6. Why in many university e.g UDSM in prospectus is clearly stated that you should not submitt PhD within 24 months even if you have finished you will have to wait until 36 months??
7. Who qualifies for PhD??
8. What is standard of super brilliant and kindly in this world of 6 billion people can you give example of just one person?


Kindly, I will need to confirm if I have blewed it my knowing what is PhD!!!
Waberoya,
Nafikiri huelewi hili suala la Ph.D na ndio maana hata maswali yako yanakuwa ya ajabu kidogo. Maswali yako ya #1, #3, #4, #7 unaweza kupata majibu yake kirahisi sana kwa ku-google tu neno Ph.D.

#2 umejijibu mwenyewe kwenye swali/hoja yako #6. UDSM mwanafunzi wa Ph.D ambaye ni full time muda anaotakiwa kuwapo chuoni ni miaka 3-5. Sasa sijui Magufuli alipataje Ph.D yake kwa miaka mitatu bila kuwa full time student.

Ph.D ni degree ya utafiti wa hali ya juu ulio na mchango mkubwa kwenye jumuiya ya wataalamu. Sio lazima ugundue kitu, bali mchango wa utafiti wako ndio unaochambuliwa ili uweze kukubalika kwenye jumuiya ya walio na Ph.D.

Kugundua kitu sio lazima kwenye Ph.D kwani mtu yeyote anaweza akagundua kitu bila utafiti.

Vipanga kwa Tanzania ni kupasua form 4,6 na chuo kikuu moja kwa moja. Third tier wa form 6 hupelekwa vyuo vya diploma. Magufuli alipomaliza form 6 alienda kusoma diploma ya ualimu Mkwawa. Huu kwangu sio ukipanga na ndio maana nashangaa alivyoweza kupewa Ph.D kwa muda mfupi kuliko full time vipanga.

Natumaini utakuwa umenielewa. Hawa watu wanaojibambikizia degree tusiwasifie, bali tuwaangalie kwa makini hasa maamuzi yao kwani ni watu wasiojiamini na ndio maana wanang'ang'ania makaratasi badala ya elimu.
 
Ndio maana wengine tukauliza maana ya PhD.

Nchi za mbele pande za Europe kama umecollect data kwa miezi kumi na mbili, ukaweza kupata data zitakaokupa manuscript tatu at least, unapewa PhD hata kama hujafikisha miaka 3! It is the quality that matters zama hizi za sayansi na technologia.

Pia kumbuka kuna wanaofanya laboratory experiments ambazo kwa muda wa miezi mitatu au sita unaweza kuwa umepata data za kupublish paper tano. Muda mwingi unatumika kuanalyse data na kuzidiscuss. Hivyo basi kama umebarikiwa unaweza kuandika paper tano na ukazipublish kwenye peer reviwed journals kwa muda usiozidi miaka mitatu. Sasa usipewe PhD kwa vile tu watu wataquestion muda uliotumia kuipata hiyo PhD? That is a big no.

Quality PhD pia inaweza kupatikana kwa muda wa miaka mitatu au hata chini ya hapo.
Freema
Ph.D ingekuwa rahisi kama unavyoifikiria, basi ungezikuta kibao huko vyuoni na hata mitaani. Research ya Ph.D ni ngumu na inachukua muda mrefu kuikamilisha. Mwanafunzi anatakiwa awe chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa Professor wake au Ma-Professor wake. Zaidi ya hayo, UDSM wanahitaji angalau miaka 3 kwa full time student kukamilisha Ph.D.

Kwa hiyo ina maana kuwa, kama mwanafunzi husika ni waziri na mbunge wakati anasoma UDSM, hawezi kukamilisha degree yake, especialy ikiwa ni Ph.D, kwa miaka 3 kama mwanafunzi wa kawaida anayelala na kuamkia maabara. Ukweli ni kuwa Magufuli katumia madaraka yake kununua Ph.D na sio ubongo wake.
 
Dr. Maghufuli alifanyia kazi PhD yake kwa nguvu zote. Nendeni department ya Chemistry chuo kikuu cha Dar es Salaam mkafanye utafiti. Pia, mkumbuke huyu amesoma Chemistry na wala sio UONGOZI. Kama ana weaknesses kwenye uongozi, that is not chemistry jamani.
 
Kuhusu Magufuli nitakujibu kwa ufahamu wangu..
Si kweli kusema jamaa hakuingia maabara ya Chemistry pale chuo... Kwa taarifa yako Magufuli ni maarufu sana pale chuoni kwa kuwa alikuwa akila RB na wanafunzi wengine muda wa mchana akitokea Lab. Pia Magufuli amesoma PhD yake kama wanafunzi wengine akifanya ishu za kiunafunzi kama Discussions na walimu wake, kuingia maabara, kula Cafeteria zaidi cafe 1 pale, kuongea stori za kiunafunzi na wenzie wa Phd na wengine wa Masters... Wengi walikuwa wakishangaa saana 2008/10 kumuona Mhe. John mkali wa kumbukumbu.. Sio utani kumuona bungeni yuko vile njoo uulizie pale UDSM uwezo wa Magufuli utawambiwa... Jamaa habahatishi kabisa akili kumkichwa...
Lakini haishii hapo tuu angalia CV zake form 4 na six na degree ya kwanza alaipata class gani...!!!

ANGALIZO:
Kabla hujaandika upuuzi au malighafi(unreseached data) tafadhali fanya uchunguzi kwanza.

BIG UP TO MAGUFULI
HE WILL MOVE TO CHADEMA IF CCM DENIES HIM TO BECOME THE NEW PRESIDENT OF THIS COUNTRY!!

PEOPLE'S POWER
mchana, stori na 2008/10

ninavyojua mimi magufuli alikuwa minister na mbunge katika kipindi hichi. kutuambia magufuli alikuwa anafanya research mchana ni sawa na kutuambia kuwa magufuli alikuwa hafanyi kazi yake ya uwaziri. uwaziri ni full-time job. huwezi fanya serious research ya phd ukiwa waziri.
na bado hiyo phd imeisha kwa miaka miwili. ukiwa mbunge pekee unaweza fanya phd
 
Magufuli anafaa sana, na ana akili ya ukweli hadesi kama unabisha nenda department ya chemistry pale UDSM uwaulize!! nilikua nasoma pale UD huo mwaka na nimewahi kukutana nae sio mara 1, he is so good kwenye kemia sasa watu wanabisha hata ukweli ulio wazi kisa majungu na fitna ya lichama lenu!!!
 
Freema
Ph.D ingekuwa rahisi kama unavyoifikiria, basi ungezikuta kibao huko vyuoni na hata mitaani. Research ya Ph.D ni ngumu na inachukua muda mrefu kuikamilisha. Mwanafunzi anatakiwa awe chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa Professor wake au Ma-Professor wake. Zaidi ya hayo, UDSM wanahitaji angalau miaka 3 kwa full time student kukamilisha Ph.D.

Kwa hiyo ina maana kuwa, kama mwanafunzi husika ni waziri na mbunge wakati anasoma UDSM, hawezi kukamilisha degree yake, especialy ikiwa ni Ph.D, kwa miaka 3 kama mwanafunzi wa kawaida anayelala na kuamkia maabara. Ukweli ni kuwa Magufuli katumia madaraka yake kununua Ph.D na sio ubongo wake.

PhD sio ngumu kama umebarikiwa kipaji cha ubunifu wa mambo amabyo inaweza kuwa ni contibution to the already existing knowledge i.e kuimprove au kurefute the existing theories or understanding, inaweza kuwa ni new innovation. Inategemea PhD yako imeegemea wapi na uwezo wako kiubunifu na uelewa wa somo husika (intelectual creativity and understanding of the subject matter).

Hivyo kusema PhD ni ngumu ni sawa na kumuambiwa mwanafunzi wa form six ni ngumu kupata master degree.

Kwa kigezo kwamba PhD ni ngumu ndio maana kila mmoja hana, basi tutasema elimu ya chuo kikuu ni ngumu ni ngumu ndio maana si kila mmoja watu ana bachelor or even master degree. Ni kukatishana tamaa. Kigezo ni kwamba tumebarikiwa tofauti kwenye intellactutal creativity and understanding, hivyo ndio maana wengi wanaona PhD ni ngumu.

Hata hivyo, kupasi au kufell katika masomo ya uzamili na uzamivu kunategemea na background ya mtu. Kwa wale ambao wamezamia kwenye topik ambazo wamaanza kuzifanyia kazi tangu kwenye project za shahada ya kwanza, topic hiyo hiyo akaibobea kwenye shahada ya uzamili halafu akaizamia zaidi kwenye shahada ya uzamivu, PhD ni kama kumsukuma mlevi.

Kama PhD ya Magufuli ni ya kununua hapo ndio issue, lakini sio amemaliza kwa katika muda gani. Na kama ameinunua, ni kwa thamani gani na aliyemuuzia ni nani. Washitakiwe!
 
Hilo la kutumia cheo chake ama lah ni jambo tete sana-je ina maana mtu akiwa waziri hawezi kusoma?

Magufuli niliwahi kumshuhudia akihenyea madarasani kule Coet, na kula mahala pa kawaida na wanafunzi wengine pale cafteria za "manzese"! Kama vile nilivyoshuhudia akipewa(tunukiwa) shahada yake pale mlimani, 2009!

Endapo tunahitaji viongozi walionunua nk MsemaKweli alisharahisisha kazi na kitabu chake cha "Mafisadi wa Elimu"-tuanzie mule!
 
PhD sio ngumu kama umebarikiwa kipaji cha ubunifu wa mambo amabyo inaweza kuwa ni contibution to the already existing knowledge i.e kuimprove au kurefute the existing theories or understanding, inaweza kuwa ni new innovation. Inategemea PhD yako imeegemea wapi na uwezo wako kiubunifu na uelewa wa somo husika (intelectual creativity and understanding of the subject matter).

Hivyo kusema PhD ni ngumu ni sawa na kumuambiwa mwanafunzi wa form six ni ngumu kupata master degree.

Kwa kigezo kwamba PhD ni ngumu ndio maana kila mmoja hana, basi tutasema elimu ya chuo kikuu ni ngumu ni ngumu ndio maana si kila mmoja watu ana bachelor or even master degree. Ni kukatishana tamaa. Kigezo ni kwamba tumebarikiwa tofauti kwenye intellactutal creativity and understanding, hivyo ndio maana wengi wanaona PhD ni ngumu.

Hata hivyo, kupasi au kufell katika masomo ya uzamili na uzamivu kunategemea na background ya mtu. Kwa wale ambao wamezamia kwenye topik ambazo wamaanza kuzifanyia kazi tangu kwenye project za shahada ya kwanza, topic hiyo hiyo akaibobea kwenye shahada ya uzamili halafu akaizamia zaidi kwenye shahada ya uzamivu, PhD ni kama kumsukuma mlevi.

Kama PhD ya Magufuli ni ya kununua hapo ndio issue, lakini sio amemaliza kwa katika muda gani. Na kama ameinunua, ni kwa thamani gani na aliyemuuzia ni nani. Washitakiwe!

Freema,
Watu kama akina Magufuli ndio wanaoifanya hii degree (Ph.D), na nyinginezo, zionekane kama vile ni karatasi tu unaloweza ukalipata hata kwa kubahatisha. Ndio maana, kwa wewe, Freema, ili kuwatetea watu kama Magufuli, inakubidi uaandike maneno ambayo sio ya busara kama nilivyo-yatia rangi kwenye ulichoandika hapo juu.

Hivi inawezekana vipi mtu ambaye utaalamu wake ni wa kufundisha watoto wa sekondari akaweza kusomea Ph.D kwa muda mfupi kabisa unaohitajika kwa mwanafunzi wa bweni, wakati huo yeye Magufuli akiwa bado anafanya kazi zake za ubunge, uwaziri, mikutano ya kikazi, kisiasa, biashara zake n.k? Muda wa kusoma aliupata wapi? Hivi kweli hata ingekuwa anafanya form six au degree ya kwanza, angeweza kweli kuupata muda wa kusoma baada ya kushughulika na hayo majukumu yake yote, tena atumie kipindi kifupi sawa na wanafunzi wa bweni?

Elimu sio ya kutlezea hasa Ph.D. Magufuli na wengineo wote wanaojibambikizia elimu kutokana na nguvu zao za kisiasa wanaipa sura mbaya elimu yetu, na ni mfano mbaya kwa vijana wetu. Hii ni hujuma kwa nchi na inadumaza taifa.
 
Freema,
Watu kama akina Magufuli ndio wanaoifanya hii degree (Ph.D), na nyinginezo, zionekane kama vile ni karatasi tu unaloweza ukalipata hata kwa kubahatisha. Ndio maana, kwa wewe, Freema, ili kuwatetea watu kama Magufuli, inakubidi uaandike maneno ambayo sio ya busara kama nilivyo-yatia rangi kwenye ulichoandika hapo juu.

Hivi inawezekana vipi mtu ambaye utaalamu wake ni wa kufundisha watoto wa sekondari akaweza kusomea Ph.D kwa muda mfupi kabisa unaohitajika kwa mwanafunzi wa bweni, wakati huo yeye Magufuli akiwa bado anafanya kazi zake za ubunge, uwaziri, mikutano ya kikazi, kisiasa, biashara zake n.k? Muda wa kusoma aliupata wapi? Hivi kweli hata ingekuwa anafanya form six au degree ya kwanza, angeweza kweli kuupata muda wa kusoma baada ya kushughulika na hayo majukumu yake yote, tena atumie kipindi kifupi sawa na wanafunzi wa bweni?

Elimu sio ya kutlezea hasa Ph.D. Magufuli na wengineo wote wanaojibambikizia elimu kutokana na nguvu zao za kisiasa wanaipa sura mbaya elimu yetu, na ni mfano mbaya kwa vijana wetu. Hii ni hujuma kwa nchi na inadumaza taifa.

Kama umesoma PhD ukaiona ni ngumu, jiongelee mweyewe. Kuna Watanzania wenzio wanazipiga tuu, na sasa wameshafikisha PhD mbili na postdoc juu, tena wakiwa ndio kwanza wanakaribia kufikisha miaka 40 (In 8 years, one is awarded 2 PhD na 2 postdocs).

Siamtetea Magufuli, natetea kusema kwako kwamba eti PhD ni ngumu, na ili kuipata inabidi uisotee miaka zaidi ya mingi.
 
Magufuli anafaa sana, na ana akili ya ukweli hadesi kama unabisha nenda department ya chemistry pale UDSM uwaulize!! nilikua nasoma pale UD huo mwaka na nimewahi kukutana nae sio mara 1, he is so good kwenye kemia sasa watu wanabisha hata ukweli ulio wazi kisa majungu na fitna ya lichama lenu!!!

Somoche,
Hakuna anayesema kuwa Magufuli hajui kemia, tunafahamu kuwa alikuwa ni mwalimu wa kemia sekondari ya sengerema. Lakini kwa yeye kufanya Ph.D kwa muda mfupi sana sawa na wanafunzi wa bweni, wakati yeye bado anafanya kazi za uwaziri, ubunge, biashara n.k., ni kitu kisichowezekana. Waendelee kuwadanganya wasiojua lakini sio wote hatujui.
 
Hilo la kutumia cheo chake ama lah ni jambo tete sana-je ina maana mtu akiwa waziri hawezi kusoma?

Magufuli niliwahi kumshuhudia akihenyea madarasani kule Coet, na kula mahala pa kawaida na wanafunzi wengine pale cafteria za "manzese"! Kama vile nilivyoshuhudia akipewa(tunukiwa) shahada yake pale mlimani, 2009!

Endapo tunahitaji viongozi walionunua nk MsemaKweli alisharahisisha kazi na kitabu chake cha "Mafisadi wa Elimu"-tuanzie mule!

Miguu,
Cha kujiuliza ni hiki; kwa nini hii bidii ya kusoma inakuja tu baada ya kupata hivi vyeo vya kisiasa? Ina maana vyeo vya ubunge, uwaziri, CCM, biashara n.k., vinampa Magufuli muda zaidi wa kusoma kuliko alipokuwa mwalimu wa sekondari au alipokuwa mkemia wa NCU? Wasitudanganye hawa wababaishaji. Hawana hizo bongo bali wananunua hizi elimu na kujianika vyuoni ili waonekane na watu wakijifanya wanasoma.
 
Yanayotokea Libya yanawatia taabu baadhi ya wakuu wa vyuo huko Ulaya. Kwa mfano huu;

The director of the London School of Economics (LSE), Sir Howard Davies has resigned over its links to Libyan leader Col Muammar Gaddafi. ...

He said the decision to accept £300,000 for research from a foundation run by Col Gaddafi's son Saif had "backfired".

The LSE has already announced it is investigating claims that Saif Gaddafi plagiarised his PhD thesis, which was awarded in 2008.

Huko Ujerumani nako kuna haya;
Germany's defence minister Karl-Theodor zu Guttenberg was forced to resign today after admitting plagiarising large chunks of his doctoral thesis

Zu Guttenberg, 39, agreed to drop his doctor title nearly a fortnight ago over allegations he copied chunks of his PhD thesis from newspapers and the Internet.

Hapa kwetu je?
Huyu anayeitwa Dr Magufuli inaeleweka kabisa hakuingia maabara kufanya kazi iliyompa Ph.D.

Hatua gani ichukuliwe kwa profesa aliyesaidia udanaganyifu huu kama ilivyomtokea Sir Howard Davies?

UD kama chuo, kimechukuwa hatua gani?

Yeye mwenyewe Magufuli kama ilivyo kwa Zu Guttenberg amechukuwa hatua gani.

Mwisho hao wengine waliotajwa na Mr Msemakweli ktk kitabu chake wako wapi na Ph.D zao?

Mchunguzi na wewe UNATIA AIBU.... vyeti ni makaratasi... jambo la MSINGI NI UWEZO BINAFSI WA MTU katika kuchambua na kuchanganua mambo.
Wapo wenye PHD's wengi tu na level nyingine na wamenunua matokeo, cha msingi kuangalia kwa Dr. Pombe... pima uwezo wake . Acha wivu wa kitoto sister.
 
Miguu,
Cha kujiuliza ni hiki; kwa nini hii bidii ya kusoma inakuja tu baada ya kupata hivi vyeo vya kisiasa? Ina maana vyeo vya ubunge, uwaziri, CCM, biashara n.k., vinampa Magufuli muda zaidi wa kusoma kuliko alipokuwa mwalimu wa sekondari au alipokuwa mkemia wa NCU? Wasitudanganye hawa wababaishaji. Hawana hizo bongo bali wananunua hizi elimu na kujianika vyuoni ili waonekane na watu wakijifanya wanasoma.

Kweli wewe Kubwajinga...

MAisha mipango ndg yangu... shurti uwe na aim...ndo ufikie goals zako. Sio lazima mtu asome straight mpaka kumaliza... la msingi ni wewe/muhusika kuangalia nifikie wapi na nifanye nini.

Tambue elimu yetu (tanzania na africa kwa ujumla ) tunasoma ili tuajiriwe, so kama ameenda kafikia kituo fulani (lets say Bachelor) anatafuta kazi na kufanya... na kujipanga... then baada ya muda masters... na kuendelea.

Suala la kusooma baada ya kuwa waziri halikuhusu... cha msingi kila mtu anao mfumo wake binafsi wa kujitambua kuwa ni mazingira gani anaweza kusoma na kuelewa.

Wengine hawawezi kuelewa wakati kabanwa na matatizo... na wengine huwa wanasoma wakati wa matatizo... hii namaanisha mwingine anaconcetrate akiwa hana jambo lingine linalomsumbua akili ndipo yeye anaelewa kwa ufasaha.

Na mwingine mpaka awe na msukumu wa tatizo fulani ndipo anaconcetrate na kuelewa.

Acha fikra hizo... fuatiza kinachojadiliwa sio kurukaruka tu
 
Back
Top Bottom