DATABASEE
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 588
- 586
Kiongoz unaijua level yake ya Elimu???huyo ni Phd holder tangiapo,labda kama ya hesma tu...Amina mkuu.. ila nilitamani Tanzania ikaonyesha heshima. Kwani wezetu wa Ghana walimtunuku Pastor Mensa otabili.
Najua ukimaliza kazi utavishwa taji... natamani taji hilo lingeazaa na hapa dunia.