pendoharri
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 508
- 306
Inadhihilisha chuki zako.usipomjua mtu c dhambi.Dhambi NI kusema uongo kuhusu yeye.Tafuta alianzia wapi ndo utakapong'ata kucha kwa aibu yakowewe ndiye uliyetuambia habari za Mwakasege
toa sifa zake na Elimu mpaka unampa Phd
hovi hawa wote wenye Dini zao umewadharau au unawatambua uwepo wao
nimeamini ww ni mjinga wa kutupwa unayewakashifu wenzako kwa kudharau hata Haduja Kopa
Mwakasege kaanzia Mbuguni km mchimbaji / mtafutaji wa Tanzanite mpaka ya 1989 na ndiko alikouanza Uinjilist
ww endelea na Mambo ya Dini kwenye Jukwaa husika la DINI hapa unatuchokoza
Mods wakusaidie