PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

Vya duniani vyote ni Batili, hakika Nguvu na Utukufu atavipata kwa Mungu. yeye atujazaye nguvu na amani amjalie Maisha marefu tupate kufundishwa yale tusiyoyajua
 
Vya duniani vyote ni Batili, hakika Nguvu na Utukufu atavipata kwa Mungu. yeye atujazaye nguvu na amani amjalie Maisha marefu tupate kufundishwa yale tusiyoyajua
Amen.
 
Nina Kaka yangu alimwongeleaga akanivutia nimfatilie zamani, ila sijawahi kwenda anaposalisha. Naomba mkumbuke kutuambia akiwa live tumwangalie hata online kama tupo mbali na mkoa aliopo.
 
Nina Kaka yangu alimwongeleaga akanivutia nimfatilie zamani, ila sijawahi kwenda anaposalisha. Naomba mkumbuke kutuambia akiwa live tumwangalie hata online kama tupo mbali na mkoa aliopo.
Sawa.. ila waweza pata masomo yake kupitia U tube pia
 
Nakubaliana na huduma kubwa aliyoweka Mungu ndani ya Mwakasege ingawa PHD kwenye injili haina maana sana,muhimu tumwombe Mungu aendelee kumwinua zaidi na tuombe Mungu awainue watumishi wengine wa aina yake
 
Nakubaliana na huduma kubwa aliyoweka Mungu ndani ya Mwakasege ingawa PHD kwenye injili haina maana zaidi tumwombe Mungu aendelee kumwinia zaidi na tuombe Mungu awainue wengine wa aina yake au zaidi
Amina mkuu.. ila nilitamani Tanzania ikaonyesha heshima. Kwani wezetu wa Ghana walimtunuku Pastor Mensa otabili.
Najua ukimaliza kazi utavishwa taji... natamani taji hilo lingeazaa na hapa dunia.
 
Sawa.. ila waweza pata masomo yake kupitia U tube pia

Ahsante, yes nayaonaga nitaanza tena kumfatilia niyasikie kwa lugha yetu ya kiswahili. Ila live siunajua ni kitu kingine tena kujisikia kama upo alipo huku neno la Mungu likikuingia vizuri.
 
Ahsante, yes nayaonaga nitaanza tena kumfatilia niyasikie kwa lugha yetu ya kiswahili. Ila live siunajua ni kitu kingine tena kujisikia kama upo alipo huku neno la Mungu likikuingia vizuri.
Sawa nitakuwa na ku update nikisiaa
 
ila mwakasege ni kichwa ukejeli usikejeli mtumishi huyu wa Mungu yuko safi kwa kila aspects theology and economics
Hakika na Mungu amezidi kumuinuaaa..
 
Yeye sio mtu wa kupenda misifa ni mtu anatumia karama yake angeweza kujiita nabii au mtume au bishop
Ametulia Tuli anahubiri injili ya kweli,, hana muda na dini wala madhehebu ya mtuu.. yeye ni injili tuu..
 
Back
Top Bottom