PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

Nina Kaka yangu alimwongeleaga akanivutia nimfatilie zamani, ila sijawahi kwenda anaposalisha. Naomba mkumbuke kutuambia akiwa live tumwangalie hata online kama tupo mbali na mkoa aliopo.
mzurimie upo mkoa gani?
Kuanzia tar 6 mwezi wa tatu atakuwa na semina pale viwanja vya chuo kikuu cha Dar es salaam kwa wiki moja.
Pia kama uko Dar unaweza ukafuatilia kila wiki kwenye
-Upendo fm radio 107.7 fm kila jumapili na jumamosi saa 3-4 usiku
-Wapo Fm radio 98.1 fm kila jumatano saa 3-4 usiku.

Kama uko Kaskazini(Arusha na Kilimanjaro)
Unaweza ukamfuatilia kila jumamosi na jumapili radio sauti ya injili saa 3-4 usiku.
 
Mwakasege is the best teacher I had ever knew,
Mungu amzidishie huyu mtumwa wake.
Hizi tuzo za dunia hazina maana, but he is a gifted teacher...
 
Naona huu ni wakati muafaka kwa vyuo vyetu vikuu ndani ya Tanzania kumtunuku Shahada ya (Heshima) kutambua na kuuthamini mchango wa Mwl huyu katika ukombozi wa Fikra haswa katika maswala ya Uchumi na Uongozi.
Kisa tuu ana wafundisha dini? Teh Teh...
 
Kisa tuu ana wafundisha dini? Teh Teh...
Mkuu hatuongelee dini... tunaangalia mchango wake katika taifa amewezaje kugusa maisha ya WaTz. Wanao amini na wasio Amini.
Mbona the Late Dr Myles Munroe alipofika Tanzania .. Mh Dr Gariab Bilal makamo wa Rais enzi hizo. Alihudhuria semina yake na kumpokea kama Kiongozi wa Nchi? Ni kwa sababu ya Mchango wake juu ya ukombozi wa kifikra..
 
Yeye sio mtu wa kupenda misifa ni mtu anatumia karama yake angeweza kujiita nabii au mtume au bishop
na anageweza kufungua mkanisa ambao ungejaa sana... heshima kwa ke aliye juu
 
Islam ndo dini ya Kweli
Natafuta muislam anioe mke Wa pili nipo tayari kubadili dini
Zali la mentali lilitokea wakati mimi nina njaa...
Nikapendwa na demu mkali na kuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaa....
 
Anaepropose mwakasege apewe PhD hata diploma hana hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
Kuna yule Mchungaji Mwalimu Jacob ambaye uwa anatoa mafundisho yake ya kiroho kupitia Kiss FM siku ya Jumapili asubuhi kuanzia saa moja hadi saa mbili kwa sasa ana PhD. Napenda mafundisho yake. Siku moja katika moja ya mafundisho yake alisema zamani alikuwa ni mwanamuziki akiimbia band ya Morogoro Jazz akiwa na marehemu Mbaraka Mwinshehe. Na kwamba yeye ndiye aliyetunga ule wimbo unaowahasa vijana kuacha kucheza na masomo badala yake waweke bidii kwenye masomo yako.
 
Mkuu hatuongelee dini... tunaangalia mchango wake katika taifa amewezaje kugusa maisha ya WaTz. Wanao amini na wasio Amini.
Mbona the Late Dr Myles Munroe alipofika Tanzania .. Mh Dr Gariab Bilal makamo wa Rais enzi hizo. Alihudhuria semina yake na kumpokea kama Kiongozi wa Nchi? Ni kwa sababu ya Mchango wake juu ya ukombozi wa kifikra..
Amegusa maisha ya waktisto si watanzania wote...apewe hiyo PhD na baraza la wakristo.
 
Namkubali sana sana sana huyu mchungaji, kwa mda mrefu nimekuwa nikitafuta cd za mafundisho yake sipati, yeyote anayeweza nisaidia nikapata cd hizo. Shukrani sana.
 
Ina maana hata vyuo vikuu vya kilutheri hawajona mchango wake?
 
Back
Top Bottom