Ukiona kazi anafanya mchagga ujue inalipa sana.Wewe kufa na Phd yako mbuzi usichanhamkie besa mtaani.Go my brother MC .Hakuna kazi ndogo wala kubwa duniani.Kuna mwl mmoja alikuwa anafundisha makongo sec alikuwa anaitwa kama sikosei Mr Mbowe akawa nafanya uMC achagui kazi anakusanya fweza sasa hivi anamtaa wake hapo mbezi beach.Kuanzia ukumbi wa kiramuu,shule ya sekkndari nk mtaa karibu mzima kuanzia hapa barabara ya morogoro mpaka karibu na njia ya kuelekea Goba ni vitega uchumi vyake.Sasa kaa hapo na vipepa vyako vya PHD huna hata hela ya kulipa bili unasubiri utukanywe na Jiwe mbele za watu na mshahara wa milion 2m.